illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,121
kipindi cha zile karatasi tulizo zoea kuziita notification kulikuwa na sehemu mbili tofauti za kutia saini ama kukubali kosa ambapo unalipa papo halpo ama kukataa kosa ili shauri liende mahakamani kwamba hukubaliani ni tuhuma lakini hizi mashine za sasa hazina sehemu yoyote ya kukata rufaa nadhani kama mtu atawaza kama mimi anaweza kushauri vyema