Kasri la Malkia Elizabeth limeanza kujiandaa na kifo cha Prince Philip

Kasri la Malkia Elizabeth limeanza kujiandaa na kifo cha Prince Philip

Huyu mzee na uzee wake huo alikua anaendesha Ranger Rover mpaka akapata nayo ajali.....
Mungu amjalie apone haraka
Alikuwa anasaka vimchuchu, anapenda mademu sana..

Huwa najiuliza hili swali hao mademu anawafanya nini, maana naamini huko down hamna kitu, au kushika nyonyoo tu[emoji1787]

black sniper

Sky Eclat

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa anasaka vimchuchu, anapenda mademu sana..

Huwa najiuliza hili swali hao mademu anawafanya nini, maana naamini huko down hamna kitu, au kushika nyonyoo tu[emoji1787]

black sniper

Sky Eclat

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mambo yako haya Best.. Nikikumbuka ulivyoichambua ile harusi ya Prince Harry kipindi kile... Sina shaka nawe.
 
Naungana na huyu jamaa kupata maelezo japo kdg Mkuu kuhusu hii reptilian family

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Nadharia ipi unaiamini kuhusu asili ya Binadamu?

1.Creationism
Mungu aliwaumba Adam na Hawa na kuwapa amri wa zalieane
Kizazi cha Adam na Hawa ndiyo sisi Binadam

2.Evolution
Jamii yote ya viumbe ikiwepo Binadam ni matokeo ya mabadiliko madogo madogo ya viumbe vilivyoishi miaka mingi iliyopita na kanuni ya asili inayoitwa natural selection ndiyo iliyohusika na inayohusika kuongoza mabadiliko hayo kwa kuondoa viumbe dhaifu na kuhakikisha viumbe vyenye nguvu vina faulu kuingia kizazi kingine

Japo Evolution inachukua mamilioni ya miaka kuwa na matokeo yanayoonekana



3.Na nadharia ya tatu ambayo yengi hawaifaham ni Reptilian Race theory
(Haina jina official kwa sababu haipo kwenye mainstream science)

Hii ipo hivi
Ni story kuhusu sisi...Mimi na wewe
Nakurudisha miaka 450,000 nyuma ya leo kuna jamii ya viumbe kutoka sayari ya mbali sana (Extra terrestrial race au alien)
Walikuja duniani kipindi hicho Binadam hatukuwepo Bali kulikua na Jamii ya Primates (aina ya wanyama mfano wa Nyani kwa lugha nyepesi)

Lengo La hawa viumbe ilikua ni kutafuta dhahabu,na dhahabu hii walihitaji kama malighafi ya vyombo vyao vya Anga na baadhi ya technologies zao nyingine

Baada ya kufanya utafiti wakagundua kuwa eneo lenye dhahabu nyingi na za kutosha ni Zimbabwe...... Hujakosea Zimbabwe hii hii ya Afrika

Na walipofika base yao yaliijenga katika eneo ambalo kwa sasa linajulikana kama Sumerian

Tatizo lilikua moja...kazi ilikua ni kubwa sana na wafanyakazi wao walizidiwa

Kama viumbe vyovyote vyenye akili hawa viumbe pia kwa jina la annunaki( tafsiri : wanaotokea angani)
Wakatafuta namna ambayo wanaweza ku rahisisha kazi

Jawabu walilopata lilikua ni moja
Kwa sababu kulikua na jamii ya Primate wakati ule wakatumia sayansi ya kucheza na vinasaba (DNA manipulation) au Genetic engineering kubadili hawa Primate kuwa aina ya viumbe wanaoweza kuwatumia kufanya kazi zao

Walichokifanya ni ku mix vinasaba vyao na vinasaba wa hawa primate kupata kiumbe watatu(Hybrid) ambaye alikua na utaishi kiasi cha kupewa maelekezo na kuyafata

Baada ya hawa viumbe vipya kuzaliana huku kazi yao kubwa ni kuchimba hizo dhahabu

Enki, mwanasayansi mkubwa wa viumbe hawa aliyeongoza Project ya kutengeneza hivi viumbe alitokea kuvipenda

Hii ni hisia ya kawaida kwa creator yoyote yule

So alichokifanya ni ku ongeza utashi wa hawa viumbe siku hadi siku na walipokua wengi baada ya kuzaliana wakawa wanapewa nafasi ya kuishi pamoja na Annunaki kama ndugu

Siku zikaja ambapo hawa viumbe ilibidi warudi walikotoka baada ya mission yao kuisha na hawakutaka kuacha viumbe walivyo viumba peke yao

Waliacha wenzao kuvisimamia

Miaka mingi imepita sasa turudi leo

Hivyo viumbe vilivyotengenezwa ndiyo sisi binadam

Na kizazi cha Annunaki kilichoacha ndiyo hao tunao waitwa Reptilian race au shape shifter
(Wanauwezo wa kubadilika badilika kuwa umbo lolote au MTU yoyote)
Na sio uchawi,ni asili yao

Na hawazeeki kama walivyo nyoka tu

Hii fact : Malkia Elizabeth ana miaka kama 95 ila anaendesha gari kama kijana wa miaka 23


So hawa annunaki ndiyo wapo nyuma ya kila organization kubwa duniani na wao ndio wanaamua dunia iende vipi


Unaweza kuwaita Illuminati au Freemason ila ndiyo viongozi nyuma ya viongozi


Hofu yao kubwa ni?

Wanaweza vipi kutawala jamii ya viumbe zaidi ya Billion 7 na wao wapo wachache?


So solution ni kutupunguza...kwa njia yoyote
Na kutufanya tubaki kuwa wajinga...


Note: nilichokiandika hapo sio ukweli ni nadharia
 
Na ni Bora iwe nadharia tu,
Maana Kama hao viumbe walikuwepo Ni kwa nini walikubali au kuruhusu population ya watu iwe kubwa kiasi cha Leo hii wapate taabu kuipunguza?
Na ni kwa nini huyo ENKI hakurudi kuja kuangalia maendeleo ya kazi yake hali ya kua aliipenda kazi yake alioiunda?

Vipi hao wasaidizi wake waliobaki kwa Nini waliacha kukawepo na nadharia nyingine ya tokeo la mtu duniani Hali yakua wao ndio waliosababisha kutokea kwao, Ni kwamba hawakutaka utukufu? lifecoded
 
Nadharia ipi unaiamini kuhusu asili ya Binadamu?

1.Creationism
Mungu aliwaumba Adam na Hawa na kuwapa amri wa zalieane
Kizazi cha Adam na Hawa ndiyo sisi Binadam

2.Evolution
Jamii yote ya viumbe ikiwepo Binadam ni matokeo ya mabadiliko madogo madogo ya viumbe vilivyoishi miaka mingi iliyopita na kanuni ya asili inayoitwa natural selection ndiyo iliyohusika na inayohusika kuongoza mabadiliko hayo kwa kuondoa viumbe dhaifu na kuhakikisha viumbe vyenye nguvu vina faulu kuingia kizazi kingine

Japo Evolution inachukua mamilioni ya miaka kuwa na matokeo yanayoonekana



3.Na nadharia ya tatu ambayo yengi hawaifaham ni Reptilian Race theory
(Haina jina official kwa sababu haipo kwenye mainstream science)

Hii ipo hivi
Ni story kuhusu sisi...Mimi na wewe
Nakurudisha miaka 450,000 nyuma ya leo kuna jamii ya viumbe kutoka sayari ya mbali sana (Extra terrestrial race au alien)
Walikuja duniani kipindi hicho Binadam hatukuwepo Bali kulikua na Jamii ya Primates (aina ya wanyama mfano wa Nyani kwa lugha nyepesi)

Lengo La hawa viumbe ilikua ni kutafuta dhahabu,na dhahabu hii walihitaji kama malighafi ya vyombo vyao vya Anga na baadhi ya technologies zao nyingine

Baada ya kufanya utafiti wakagundua kuwa eneo lenye dhahabu nyingi na za kutosha ni Zimbabwe...... Hujakosea Zimbabwe hii hii ya Afrika

Na walipofika base yao yaliijenga katika eneo ambalo kwa sasa linajulikana kama Sumerian

Tatizo lilikua moja...kazi ilikua ni kubwa sana na wafanyakazi wao walizidiwa

Kama viumbe vyovyote vyenye akili hawa viumbe pia kwa jina la annunaki( tafsiri : wanaotokea angani)
Wakatafuta namna ambayo wanaweza ku rahisisha kazi

Jawabu walilopata lilikua ni moja
Kwa sababu kulikua na jamii ya Primate wakati ule wakatumia sayansi ya kucheza na vinasaba (DNA manipulation) au Genetic engineering kubadili hawa Primate kuwa aina ya viumbe wanaoweza kuwatumia kufanya kazi zao

Walichokifanya ni ku mix vinasaba vyao na vinasaba wa hawa primate kupata kiumbe watatu(Hybrid) ambaye alikua na utaishi kiasi cha kupewa maelekezo na kuyafata

Baada ya hawa viumbe vipya kuzaliana huku kazi yao kubwa ni kuchimba hizo dhahabu

Enki, mwanasayansi mkubwa wa viumbe hawa aliyeongoza Project ya kutengeneza hivi viumbe alitokea kuvipenda

Hii ni hisia ya kawaida kwa creator yoyote yule

So alichokifanya ni ku ongeza utashi wa hawa viumbe siku hadi siku na walipokua wengi baada ya kuzaliana wakawa wanapewa nafasi ya kuishi pamoja na Annunaki kama ndugu

Siku zikaja ambapo hawa viumbe ilibidi warudi walikotoka baada ya mission yao kuisha na hawakutaka kuacha viumbe walivyo viumba peke yao

Waliacha wenzao kuvisimamia

Miaka mingi imepita sasa turudi leo

Hivyo viumbe vilivyotengenezwa ndiyo sisi binadam

Na kizazi cha Annunaki kilichoacha ndiyo hao tunao waitwa Reptilian race au shape shifter
(Wanauwezo wa kubadilika badilika kuwa umbo lolote au MTU yoyote)
Na sio uchawi,ni asili yao

Na hawazeeki kama walivyo nyoka tu

Hii fact : Malkia Elizabeth ana miaka kama 95 ila anaendesha gari kama kijana wa miaka 23


So hawa annunaki ndiyo wapo nyuma ya kila organization kubwa duniani na wao ndio wanaamua dunia iende vipi


Unaweza kuwaita Illuminati au Freemason ila ndiyo viongozi nyuma ya viongozi


Hofu yao kubwa ni?

Wanaweza vipi kutawala jamii ya viumbe zaidi ya Billion 7 na wao wapo wachache?


So solution ni kutupunguza...kwa njia yoyote
Na kutufanya tubaki kuwa wajinga...


Note: nilichokiandika hapo sio ukweli ni nadharia
Hahaaaaaa, na ibaki kuwa theory tu. Ingawa kuhusu kutawala dunia, Ni kweli Kuna watu nyuma wanatawala kimyakimya.
 
Nadharia ipi unaiamini kuhusu asili ya Binadamu?

1.Creationism
Mungu aliwaumba Adam na Hawa na kuwapa amri wa zalieane
Kizazi cha Adam na Hawa ndiyo sisi Binadam

2.Evolution
Jamii yote ya viumbe ikiwepo Binadam ni matokeo ya mabadiliko madogo madogo ya viumbe vilivyoishi miaka mingi iliyopita na kanuni ya asili inayoitwa natural selection ndiyo iliyohusika na inayohusika kuongoza mabadiliko hayo kwa kuondoa viumbe dhaifu na kuhakikisha viumbe vyenye nguvu vina faulu kuingia kizazi kingine

Japo Evolution inachukua mamilioni ya miaka kuwa na matokeo yanayoonekana



3.Na nadharia ya tatu ambayo yengi hawaifaham ni Reptilian Race theory
(Haina jina official kwa sababu haipo kwenye mainstream science)

Hii ipo hivi
Ni story kuhusu sisi...Mimi na wewe
Nakurudisha miaka 450,000 nyuma ya leo kuna jamii ya viumbe kutoka sayari ya mbali sana (Extra terrestrial race au alien)
Walikuja duniani kipindi hicho Binadam hatukuwepo Bali kulikua na Jamii ya Primates (aina ya wanyama mfano wa Nyani kwa lugha nyepesi)

Lengo La hawa viumbe ilikua ni kutafuta dhahabu,na dhahabu hii walihitaji kama malighafi ya vyombo vyao vya Anga na baadhi ya technologies zao nyingine

Baada ya kufanya utafiti wakagundua kuwa eneo lenye dhahabu nyingi na za kutosha ni Zimbabwe...... Hujakosea Zimbabwe hii hii ya Afrika

Na walipofika base yao yaliijenga katika eneo ambalo kwa sasa linajulikana kama Sumerian

Tatizo lilikua moja...kazi ilikua ni kubwa sana na wafanyakazi wao walizidiwa

Kama viumbe vyovyote vyenye akili hawa viumbe pia kwa jina la annunaki( tafsiri : wanaotokea angani)
Wakatafuta namna ambayo wanaweza ku rahisisha kazi

Jawabu walilopata lilikua ni moja
Kwa sababu kulikua na jamii ya Primate wakati ule wakatumia sayansi ya kucheza na vinasaba (DNA manipulation) au Genetic engineering kubadili hawa Primate kuwa aina ya viumbe wanaoweza kuwatumia kufanya kazi zao

Walichokifanya ni ku mix vinasaba vyao na vinasaba wa hawa primate kupata kiumbe watatu(Hybrid) ambaye alikua na utaishi kiasi cha kupewa maelekezo na kuyafata

Baada ya hawa viumbe vipya kuzaliana huku kazi yao kubwa ni kuchimba hizo dhahabu

Enki, mwanasayansi mkubwa wa viumbe hawa aliyeongoza Project ya kutengeneza hivi viumbe alitokea kuvipenda

Hii ni hisia ya kawaida kwa creator yoyote yule

So alichokifanya ni ku ongeza utashi wa hawa viumbe siku hadi siku na walipokua wengi baada ya kuzaliana wakawa wanapewa nafasi ya kuishi pamoja na Annunaki kama ndugu

Siku zikaja ambapo hawa viumbe ilibidi warudi walikotoka baada ya mission yao kuisha na hawakutaka kuacha viumbe walivyo viumba peke yao

Waliacha wenzao kuvisimamia

Miaka mingi imepita sasa turudi leo

Hivyo viumbe vilivyotengenezwa ndiyo sisi binadam

Na kizazi cha Annunaki kilichoacha ndiyo hao tunao waitwa Reptilian race au shape shifter
(Wanauwezo wa kubadilika badilika kuwa umbo lolote au MTU yoyote)
Na sio uchawi,ni asili yao

Na hawazeeki kama walivyo nyoka tu

Hii fact : Malkia Elizabeth ana miaka kama 95 ila anaendesha gari kama kijana wa miaka 23


So hawa annunaki ndiyo wapo nyuma ya kila organization kubwa duniani na wao ndio wanaamua dunia iende vipi


Unaweza kuwaita Illuminati au Freemason ila ndiyo viongozi nyuma ya viongozi


Hofu yao kubwa ni?

Wanaweza vipi kutawala jamii ya viumbe zaidi ya Billion 7 na wao wapo wachache?


So solution ni kutupunguza...kwa njia yoyote
Na kutufanya tubaki kuwa wajinga...


Note: nilichokiandika hapo sio ukweli ni nadharia
Ahsante sana mkuu mie hiyo nadharia ya tatu ndio nimeona iko sawa, niiliwahi kuskia kuhusu enki ,nadhani alikua na ndugu yake sijui
 
Alikuwa anasaka vimchuchu, anapenda mademu sana..

Huwa najiuliza hili swali hao mademu anawafanya nini, maana naamini huko down hamna kitu, au kushika nyonyoo tu[emoji1787]
... umeuliza ujinga aisee! Jibu hilo hapo:-

"Mfalme Daudi alikuwa mzee, mkongwe katika siku zake, nao wakamfunika nguo, lakini asipate joto. Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia, Bwana wangu mfalme na atafutiwe kijana mwanamwali; naye asimame mbele ya mfalme, amtunze; alale kifuani mwako, ili bwana wangu mfalme apate joto. Basi wakatafuta msichana mzuri katika nchi yote ya Israeli, wakamwona Abishagi, Mshunami, wakamleta kwa mfalme. Naye msichana huyo alikuwa mzuri sana; akamtunza mfalme, akamtumikia; lakini mfalme hakumjua.", Waf. 1:1-4

Compare and contrast:
  1. Prince Philip ni mzee; mzee sana.
  2. ... anaishi mazingira ya baridi sawa sawa na Mfalme Daudi enzi zake.
  3. ... ni mume wa Malkia; kicheo ni equivalent na Mfalme.
Kutunzwa na msichana mrembo ni halali yake kama alivyofanyiwa Daudi. Angalizo: Haya mambo wanafanyiwa wafalme waliozeeka na sio kila mtu Sky Eclat unaitwa hapa.
 
Back
Top Bottom