Kasri la Malkia Elizabeth limeanza kujiandaa na kifo cha Prince Philip

Kwahyo tutegemee TANZIA kabla ya kula keki ya BIRTHDAY!? reptilian family lazima atoboe hapa..
 
Duh ulishaanza kuniingiza cha kike
 
Kabisa. Miaka 100 kasoro miezi mitatu ni umri mkubwa. Mama wa malkia nadahni alifariki akiwa na miaka 102 or so
Yeah, alifariki akiwa na miaka 102.
Halafu kafanana na Elizabeth kwelikweli
 
Wewe unafikiri Mungu wa biblia na Quran alimuumba shetani akijua atamgeuka?!...halafu badala ya kupambana naye kumuangamiza ili asiposhe binadamu aliowaumba!-yeye kawaachia zigo aliowaomba wahangaike nalo na wakishindwa anawadhibu ?!

...hizi nadharia za chanzo cha binadamu ...hakuna yenye uhakika sasa....hata hiyo ya biblia na Quran nayo INA mapungufu ya kutosha mkuu
 
Amefariki ukiona ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…