Yes, ni ile almasi ya MwaDUI - William-son -Diamond yaani Almasi ya mwana mfalme William.Kuna habari kuwa Mwalimu alipokua anadai Uhuru alikaribishwa chai kwenye Kasri hilo. Dunia, bakuli la sukari, kikombe cha maziwa na vijiko vilikua vya dhahabu. Walimwambia hii ni dhahabu ya Tanganyika. Walimpandisha hasira lakini hawakujua. Baada ya uhuru ndipo alipokataa uchimbaji wa madini.
Kwakuongezea nyama mkuu; King Edward alisababisha constitutional crisis kwakutaka kumuoa mwanamke wa kimarekani Willis Simpson aliyeachana na mwanaume wake wa kwanza, hapo pia alikuwa kwenye harakati za kudivorce na mumewe wa pili. Waingereza walimaindi sana hii issue kwasababu ilikuwa inahaaribu status ya King Kama head of church of England ambalo ni Kanisa lisiloruhusu kufungisha ndoa ya utalaka especially Kama mume/mke wa mtalikiwa/ mtalikiwa bado ni mzima. King Edward akachagua ndoa na hiyo mwanamke wa kimarekani na akatolewa (abdicated) kwenye nafasi yake nakupewa mdogo wake King George VI ambaye ndiye baba wa Queen Elizabeth II wa sasa.Wamekuwa pamoja na queen so ni jambo la kawaida,ila Margaret amekuwa akiishi maisha ya kipekee sana,ndio hata sasa unamuona prince harry anavyoishi,kama Baba mkubwa wao king ๐คด Edward
huu ukwini umemuangukia Elizabeth kama zari tu na yeye,sababu Baba yake (marehemu) king George aliupata hivyo hivyo
Hii ni kutokana na King mwenyewe aliepaswa,king Edward alivyompenda mwanamke ambaye alishaolewa,kanisa likagoma kufungisha ndoa ya pili,mzee akaona bora mke kuliko uking
Ndio ukaangukia kwa late king George,na mwanae wa kwanza ni Elizabeth
Nilisoma gazeti moja zamani, kwanza Queen Elizabeth I Queen Mother hakupenda watoto wake waende shule na kuchanganyika na commoners, ingawa jamani shule wangeenda shule za watoto matajiri lakini mama yao alipendelea wafundishwe nyumbani. Hivyo waliletewa walimu nyumbani.Kwakuongezea nyama mkuu; King Edward alisababisha constitutional crisis kwakutaka kumuoa mwanamke wa kimarekani Willis Simpson aliyeachana na mwanaume wake wa kwanza, hapo pia alikuwa kwenye harakati za kudivorce na mumewe wa pili. Waingereza walimaindi sana hii issue kwasababu ilikuwa inahaaribu status ya King Kama head of church of England ambalo ni Kanisa lisiloruhusu kufungisha ndoa ya utalaka especially Kama mume/mke wa mtalikiwa/ mtalikiwa bado ni mzima. King Edward akachagua ndoa na hiyo mwanamke wa kimarekani na akatolewa (abdicated) kwenye nafasi yake nakupewa mdogo wake King George VI ambaye ndiye baba wa Queen Elizabeth II wa sasa.
Princess Magret alikuwa na uwezo wa kumwambia jambo lolote hata kumkaripia Queen Elizabeth kwasababu walikuwa wamekuwa pamoja na kucheza pamoja all the time na wazazi wao. Hapa waweza kuona makuzi yanavyoweza kusababisha mdogo wako asiheshimu mamlaka uliyonayo (anaweza kufanya lolote au kukwambia lolote akijua wewe ni dada/Kaka anakujua nje ndani huwezi kumwadhibu๐๐
Kitu ambacho sijaelewa mpaka leo, sijui kwanini queen Elizabeth alikuwa akisalimia watu kwa mkono wa kulia au kumuonesha kitu mdogo wake princess Magret, Magret anareply kwa mkono wa Kushoto au nae kumsalimia kwa mkono wa kushoto. Inasemekana walikuwa na ugomvi wa kichini chini๐คท
Hata mimi mkuu ili nimeliwaza sana, Ila ninachoona kinachoweza kufanyika ni kuzifanya cells mpya ziweke kuzaliana kwa kiwango sahihi cha kama ukiwa na umri wa miaka 25. Hili linawaumiza sana kichwa wanasayansi mpaka Sasa, Ila naimani miaka ya mbele huko watafanikiwa. Cells ndo kila kitu mkuu, kadri specialised cells zinavyokufa na hakuna stem cells za kuzalisha cells zingine kureplace, viungo vya mwili vinasinyaa (uzee) na kupelekea kufaHuwa nawaza tu kwamba karne zijazo Science ya genetics ya mwili wa mwanadamu inaweza kufikia pahala mwanadamu mzee kupewa dawa ambayo inaweza ku- stimulate body tissues zote zikaanza kufanya kazi tena kama alivyokuwa na 25yrs.
Hii itafanya binadamu kuishi miaka mingi kama walivyoishi kina Yakob, Isaka, Mussa - zaidi miaka 200 hadi 300+
Yes kulikuwa na wa kwanza aliyetawala The Great Britain 1714 - 1727.Huwa najiuliza tu - huu ukoo utatawala milele ? hakuna mamna ya kuustopisha na kuchagua mwingine? Maana baba ya Elizabeth na Magreth alikuwa King George wa VI - Je kulikuwa na King George wa Kwanza ? wanahistoria tafadhali?
Naskia the real monach wanao takiwa tawala hapo wapo Australia...Yes kulikuwa na wa kwanza aliyetawala The Great Britain 1714 - 1727.
Wa pili 1727 - 1760 na wengine wakafuatia mpaka huyo wa mwisho baba ake Queen Elizabeth King George was sita aliyetawala 1936 - 1952
Queen Elizabeth amekuwa symbol tu kwa English monarchy kwa sasa,Kwakuongezea nyama mkuu; King Edward alisababisha constitutional crisis kwakutaka kumuoa mwanamke wa kimarekani Willis Simpson aliyeachana na mwanaume wake wa kwanza, hapo pia alikuwa kwenye harakati za kudivorce na mumewe wa pili. Waingereza walimaindi sana hii issue kwasababu ilikuwa inahaaribu status ya King Kama head of church of England ambalo ni Kanisa lisiloruhusu kufungisha ndoa ya utalaka especially Kama mume/mke wa mtalikiwa/ mtalikiwa bado ni mzima. King Edward akachagua ndoa na hiyo mwanamke wa kimarekani na akatolewa (abdicated) kwenye nafasi yake nakupewa mdogo wake King George VI ambaye ndiye baba wa Queen Elizabeth II wa sasa.
Princess Magret alikuwa na uwezo wa kumwambia jambo lolote hata kumkaripia Queen Elizabeth kwasababu walikuwa wamekuwa pamoja na kucheza pamoja all the time na wazazi wao. Hapa waweza kuona makuzi yanavyoweza kusababisha mdogo wako asiheshimu mamlaka uliyonayo (anaweza kufanya lolote au kukwambia lolote akijua wewe ni dada/Kaka anakujua nje ndani huwezi kumwadhibu๐๐
Kitu ambacho sijaelewa mpaka leo, sijui kwanini queen Elizabeth alikuwa akisalimia watu kwa mkono wa kulia au kumuonesha kitu mdogo wake princess Magret, Magret anareply kwa mkono wa Kushoto au nae kumsalimia kwa mkono wa kushoto. Inasemekana walikuwa na ugomvi wa kichini chini๐คท
Ndio maaana yake mkuu,alikuwepo king George 1 sio George tu henry1 hata William pia,Huwa najiuliza tu - huu ukoo utatawala milele ? hakuna mamna ya kuustopisha na kuchagua mwingine? Maana baba ya Elizabeth na Magreth alikuwa King George wa VI - Je kulikuwa na King George wa Kwanza ? wanahistoria tafadhali?
Hii crown ile series ya Netflix imeelezea vizuri sana,Nilisoma gazeti moja zamani, kwanza Queen Elizabeth I Queen Mother hakupenda watoto wake waende shule na kuchanganyika na commoners, ingawa jamani shule wangeenda shule za watoto matajiri lakini mama yao alipendelea wafundishwe nyumbani. Hivyo waliletewa walimu nyumbani.
Margaret hakujua kuwa dada yake atakuja kuwa mtawala. Ni mpaka pale alipoona walimu walikaa na dada yake kwa muda mrefu na walibadlishwa maprofesa kutoka Oxford na Cambridge walimfundisha dada yake kwa muda mrefu na Margaret aliachwa tu acheze.
Aliumia sana alipogundua nafasi ya dada yake katika nchi ni tofauti na nafasi yake ingawa wote ni ma binti Mfalme.
Hili sina uwakika nalo, labda mkuu Malcolm X5 atusaidieNaskia the real monach wanao takiwa tawala hapo wapo Australia...
Ndoma harry akamua kufata moyo wale kuwa na furahaQueen Elizabeth amekuwa symbol tu kwa English monarchy kwa sasa,
Ila maisha yake yote amelinda sana tamaduni zao,sheria na vinavyohusu utamaduni wao kwa ujumla,
Sina hakika na hiyo hand shake sababu sijawahi kutana nayo mahali,ila jambo moja iโm sure kwa margaret na queen ni katika kumchagulia suitors wake,Queen alikuwa na taarifa za watu wote mdogo wake aliokuwa akianzisha mahusiano nao,mfano wa kwanza alikuwaga married man soldier mwisho Elizabeth akainterven wakatenganishwa,capt peter downsend,hii bunge pia walikomaa sana Waziri mkuu by then Winston Churchill.
Yakaja mahusiano ya pili na Mpiga picha Anthony amstrong jones ambaye baadae aliitwa lord snowdon,huyu alimuoa kabisa,na Wakazaa watoto wawili,na ndoa Yao ndio ilikuwa ya kwanza televised live 1960,ila baadae queen akapata taarifa kuwa huyu jamaa anashiriki mahusiano ya Jinsia moja,na alikuwa na mke pia Kabla yake,so ili story zisitoke ilibidi wadivorce,ndoa ikavunjwa..
Kwa hiyo margaret maisha yake yote amekuwa akilalamika queen ndio amekuwa wa kuwachagulia furaha,sababu tu ya duties,ukitoka nje ya mstari kama Harry alivyofanya basi tittle zote unavuliwa,ila yote na yote Margaret alibaki kuchagua duties,The Heartbreaking Royal Romance of Princess Margaret and Peter Townsend
Aisee sijawahi sikia hili mkuu,Hili sina uwakika nalo, labda mkuu Malcolm X5 atusaidie
Inasemekana hii ni reptilian anscenstry. Uliongeleaje hilo mkuu?Aisee sijawahi sikia hili mkuu,
Lakini hawa jamaa wako vizuri sana kwenye kulinda damu ile,so sidhani kama kuna ukweli
Ila hata huyo prince Phillip mume wa queen amekuja kujulikana ni descendants wa Queen victoria wakati huo(kumbuka Ziwa Victoria) akiwa Greece so possibly inawezekana,ila Kati ya kitu wanatunza ni HISTORIA Yao,na damu Yao
Harry karithi roho ya babu yake King Edward. Aliamua kuachana na ufalme kisa mapenzi; mapenzi yana nguvu jamani๐Ndoma harry akamua kufata moyo wale kuwa na furaha
Hizi conspiracies Ziko nyingi sana mkuu,inategemea na Unachoamini,Inasemekana hii ni reptilian anscenstry. Uliongeleaje hilo mkuu?
Me- again ni Us spy?[emoji28][emoji28][emoji28]Hizi conspiracies Ziko nyingi sana mkuu,inategemea na Unachoamini,
Ni kama unaaminishwa kuwa princess Meghan ni Us spy,au watoto wa Prince Harry wamezaliwa America ili aje kuwa president wakati huo huo ni royal discendant,ku colonise America tena,kuamini ni wewe tu nk nk..https://www.news24.com/channel/gossip/royal-news/is-queen-elizabeth-an-extraterrestrial-reptile-some-of-the-most-bizarre-royal-conspiracy-theories-20200615 hizi ni Baadhi ya royal conspiracies theories 15 Royal Family Conspiracy Theories
Hizi conspiracies Ziko nyingi sana mkuu,inategemea na Unachoamini,
Ni kama unaaminishwa kuwa princess Meghan ni Us spy,au watoto wa Prince Harry wamezaliwa America ili aje kuwa president wakati huo huo ni royal discendant,ku colonise America tena,kuamini ni wewe tu nk nk..https://www.news24.com/channel/gossip/royal-news/is-queen-elizabeth-an-extraterrestrial-reptile-some-of-the-most-bizarre-royal-conspiracy-theories-20200615 hizi ni Baadhi ya royal conspiracies theories 15 Royal Family Conspiracy Theories
Umeona sasa,yaani ni wewe tu kuamini,kuna watu wanaamini na ni wengi kweliNimechoka na hizi conspiracies ๐๐
- Meghan is a robot and Us spy
- Prince Charles is vempire
- Queen Elizabeth I was a man
- Queen Elizabeth II is cannibal
- Harry amuoa Meghan ili Brits wake kuicontrol America baadae baada ya mwanae mmoja kuwa rais wa Marekani.
Siwezi kuamini huo upumbavu. Ni sawa na kuamini nadharia ya Annunaki na uwepo wa hizo 15 rept and humanoid families. Mbona wanakufa sasa kama wanauwezo wa kujigeuza maumbo yoyote au binadamu yeyote na kuishi miaka mingi sana?!Umeona sasa,yaani ni wewe tu kuamini,kuna watu wanaamini na ni wengi kweli