utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Aliyekuwa mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba ndugu Kassim Dewji amestaafu rasmi kama kiongozi wa Simba S.C na Sasa anajiandaa na maisha mengine nje ya uongozi wa Simba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa maana Barbara tayari yupo utopwinyoAnaenda UTO
Dah! Si nikajua ni Mwamedi!! Kumbe ni Kassim!! Ingekiwa ni mwamedi, aisee muda huu huu wa usiku ningeenda kwa mzee mwenzangu Kilomoni, kumuomba aichukue timu haraka, kabla ya kuvamiwa na wahuni wengine.Aliyekuwa mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba ndugu Kassim Dewji amestaafu rasmi kama kiongozi wa Simba S.C na Sasa anajiandaa na maisha mengine nje ya uongozi wa SimbaView attachment 2508884
Tunajua alikuwa ni Team Kalua katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi Majuzi tu akiwa na Mategemeo kabisa kuwa Kalua akishinda atampa Connection ya Kuuza Jezi za Simba SC kama alivyozoea huko nyuma na Kupiga Pesa nyingi.Aliyekuwa mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba ndugu Kassim Dewji amestaafu rasmi kama kiongozi wa Simba S.C na Sasa anajiandaa na maisha mengine nje ya uongozi wa SimbaView attachment 2508884
Uhi sports ni kampuni kubwa gentaTunajua alikuwa ni Team Kalua katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi Majuzi tu akiwa na Mategemeo kabisa kuwa Kalua akishinda atampa Connection ya Kuuza Jezi za Simba SC kama alivyozoea huko nyuma na Kupiga Pesa nyingiet.
Kusimamia mali za ukoo unadhani ni jambo rahisi? Mbona wewe zile ukizoachiwa na wazazi wako umeshindwa kuziendeleza? By the way, wajanja wote duniani hujikita kuendeleza mali za ukoo;rejea the Rockefellers, the Rothschild, na hata the British Royal Family.Nikajua ni Mudi yule msimamizi wa Mali za ukoo ndio kang'atuka, kumbe ni huyu mwanaukoo
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji119]Kusimamia mali za ukoo unadhani ni jambo rahisi? Mbona wewe zile ukizoachiwa na wazazi wako umeshindwa kuziendeleza? By the way, wajanja wote duniani hujikita kuendeleza mali za ukoo;rejea the Rockefellers, the Rothschild, na hata the British Royal Family.
SawaKuna mambo mengi sana chini ya PAZIA.
MWAMEDI HAJA SETTLE ANAINGIA NA KUTOKA INGIA NA KUTOKA NYINGI.
KD ni MWANZILISHI WA Friends of Simba.
Friends of Simba hawakubaliani na MANGUNGO.
Wewe msambaa uza zako pears.Haya mambo makubwa sana kwa upeo wako wa kufikiri.Dah! Si nikajua ni Mwamedi!! Kumbe ni Kassim!! Ingekiwa ni mwamedi, aisee muda huu huu wa usiku ningeenda kwa mzee mwenzangu Kilomoni, kumuomba aichukue timu haraka, kabla ya kuvamiwa na wahuni wengine.
Wewe msambaa uza zako pears.Haya mambo makubwa sana kwa upeo wako wa kufikiri.Vipi kusoma tatizo nini? Ndio maana mnachanganya logo.
Na wewe una feel kabisa akiingia na kutoka? Utopolo akili zao wanazijua wenyewe.Kuna mambo mengi sana chini ya PAZIA.
MWAMEDI HAJA SETTLE ANAINGIA NA KUTOKA INGIA NA KUTOKA NYINGI.
KD ni MWANZILISHI WA Friends of Simba.
Friends of Simba hawakubaliani na MANGUNGO.