Inasikitiisha kuona Mzee Dewji kujiuzulu uongozi inakuwa kashfa kwake na familia yake.
Mzee Dewji kajitolea kuiongoza Simba miaka ya 80 na ikawa na mafanikio makubwa.
Sio busara kumporomoshea matusi, Laana yake Simba inaweza kuwa nyau.
Tuwaheshimi viongozi
----
KASSIM Dewji “KD” amejiuzulu nyadhifa zake zote za kuchaguliwa na kuteuliwa Simba SC. KD amemwandikia Murtaza MANGUNGU Mwenyekiti wa Simba SC kumjulisha maamuzi yake hayo, amedumu kwenye nafasi mbalimbali kwenye mpira tangu 1989
Mzee Dewji kajitolea kuiongoza Simba miaka ya 80 na ikawa na mafanikio makubwa.
Sio busara kumporomoshea matusi, Laana yake Simba inaweza kuwa nyau.
Tuwaheshimi viongozi
----
KASSIM Dewji “KD” amejiuzulu nyadhifa zake zote za kuchaguliwa na kuteuliwa Simba SC. KD amemwandikia Murtaza MANGUNGU Mwenyekiti wa Simba SC kumjulisha maamuzi yake hayo, amedumu kwenye nafasi mbalimbali kwenye mpira tangu 1989