Kassim Gogo: Msukuma sio raia wa Tanzania, yeye na genge lake wanaandaa mtu wao kuwa rais 2025

Kassim Gogo: Msukuma sio raia wa Tanzania, yeye na genge lake wanaandaa mtu wao kuwa rais 2025

Tajiri la Bitcoin

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
1,139
Reaction score
707
MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA
_____________________________________

Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.

Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.

Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.

Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.

Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.

Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.

Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.

Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima

 
MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA.
_____________________________________

Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.

Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.

Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.

Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.

Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.

Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.

Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.


Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima
Chama kilicho laaniwa. Kila mtu ataongea lugha yake ili msielewane
 
MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA.
_____________________________________

Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.

Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.
Mkiona VIP tupo tayari kujitenga kutengeneza nchi yetu ya kuanzia Tabora, Shinyanga, Bariad,Mwanza ,Mwanza Kama mnasema msukuma sio mtanzania Basi tupeni hyo mikoa tuwe na nchi yetu kwanza mmetuulia mtu wetu tuna machungu Makubwa mno msiwaone akina msukuma, Gwajima, Makonda, wako kimya wanna machungu mno na hao waliouza gesi ya mtwara kisa kumkomboa R1 Basi lakin Mwaka 2025 hatuwa kura kanda ya ziwa Na Hilo limaushungi lenu
 
MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA.
_____________________________________

Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.

Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.

Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.

Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.

Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.

Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.

Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.


Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima


hivi akili za ccm sijui wanazitoaga wapi. mtu akihoji jambo tayari anahukumiwa siyo raia.......
 
MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA.
_____________________________________

Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.

Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.

Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.

Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.

Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.

Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.

Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.


Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima
Hivi Kasim Gogo rekodi yako ya kuhama vyama unajua haijavunjwa hadi leo ?
 
Back
Top Bottom