Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Wote hawa ni watu hatari kwa nchi yetu. Wanawazia matumbo yao tu. Mpaka watu wajinga kama hawa watakapoondolewa kwenye siasa ndiyo nchi yetu itapata maendeleo.Chama kilicho laaniwa. Kila mtu ataongea lugha yake ili msielewane
Kizazi cha mafisi hiki. Magufuli alikuwa na chake na Samia naye kaingia na chake. Ni tumbo tu hakuna cha zaidi.Ha eti anamchongea kwa mama!!!?
jamaa punguani huyu
Ingieni upinzani mjenge nchi na kubadilidha katiba, CCM sio mama yenu ni chama tuu cha siasa, kama kinazingua unatafuta mbadala maisha yanaendeleaMkiona VIP tupo tayari kujitenga kutengeneza nchi yetu ya kuanzia Tabora, Shinyanga, Bariad,Mwanza ,Mwanza Kama mnasema msukuma sio mtanzania Basi tupeni ...
Kumbe ni kweli nia yenu ni kukigawa chama mwaka 2025,Mkiona VIP tupo tayari kujitenga kutengeneza nchi yetu ya kuanzia Tabora, Shinyanga, Bariad,Mwanza ,Mwanza Kama mnasema msukuma sio mtanzania Basi ...
CCM bado iko sana count down 100 yrs ahead,Ingieni upinzani mjenge nchi na kubadilidha katiba, CCM sio mama yenu ni chama tuu cha siasa, kama kinazingua unatafuta mbadala maisha yanaendelea
Mgambo wanaruka na kukanyagana.
hiiGogo
Hili jina la pili la kasimu ni mojawapo ya majina yenye utata,je naye achunguzwe na vyombo vya dola?Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma
CCM ni CHAMA,Kilichowakumba hasa kina Msukuma ni kutokukubali ukweli kuwa Magufuli hayupo. Waliweka imani zao zote juu ya utawala wa milele wa Magufuli kiasi kwamba wakasahau kuwa kuna Mungu na pia ana mipango yake. Ni swala la wakati tu watazoea ukweli kuwa Jiwe hayupo na wataanza kuimba mapambio ya Kizanzibari. Msije kustaajabu huko mbeleni mkasikia lafudhi ya Msukuma imekuwa kama ya kipemba.
On a side note, CCM waliamini kuwa wakiwa peke yao serikalini mambo yatakuwa mepesi, cha ajabu leo hii wananyukana wenyewe kwa wenyewe. Na bado, tutaona na kusikia mengi.
Huyo babu Gogo ndio sio raia. Anadai sio raia je, ilikuwaje akachaguliwa kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita kabla ya kuwa mbunge?MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA.
_____________________________________
Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.
Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.
Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.
Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.
Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.
Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.
Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.
Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima
Kumbe ndio yule jamaa wanamwandaa,MSUKUMA ASHUKIWA NA MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA.
_____________________________________
Amwambia Lengo lake ni kugombanisha Machinga na Serikali.
Atajwa kuratibu kundi la Kumkwamisha Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan 2025.
Uraia wake wahojiwa Kwa kutumia jina la mama yake kama jina la baba.
Mjumbe wa mkutano Mkuu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kassim Gogo amemuonya Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma kwa kutumia vibaya zoezi la kuwapanga Vizuri Machinga kugombanisha na kujenga uhasama Kati ya Machinga na Serikali yao.
Mjumbe huyo amemuelezea Mbunge Msukuma Kama adui hatari mwenye sura mbili ambapo amesema Msukuma na wenzake wanajificha kwenye mwavuli wa Zoezi la Chanjo, Kuwapanga Machinga na Dini kupenyeza ajenda zao za Chuki dhidhi ya Serikali ili kukwamisha jitiada za Rais Samia Suluhu Hassan 2025 ili wamuweke Rais wao.
Aidha Gogo ameviomba Vyombo vya Usalama kuanza kuchunguza uraia wa Msukuma kutokana na uraia wake kuwa wa Mashaka.
Pamoja na hayo Gogo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa busara kubwa aliyoitumia Kwenye maelekezo ya Kuwapanga Vizuri Machinga.
Cc: Hamprey Polepole
Josephate Gwajima
😂😂Hivi Kasim Gogo rekodi yako ya kuhama vyama unajua haijavunjwa hadi leo ?
Izuri haya Mataga yapo peke yao,hakuma kusingizia Chadema ili yapate kiki,Mgambo wanaruka na kukanyagana.
Na kwa bahati mbaya ndio wengi nchi hii...mtaji wa chama.wajinga wenzake tu ndiyo wanamuhusudu.