Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Majaliwa anataka Kutuambia Iwe isiwe lazima Samia awe Rais Wa Nchi Kwa Miaka 10 ijayo?
===========
Kassim Majaliwa: Nataka kuwahakikishia tena, Serikali yenu iko makini na maam yetu kwenye eneo hili anaendelea kutenda haki. Leo miezi sita tu, ana miaka mitano tutamjumlishia miaka mitano mingine, bado ana nafasi ya kufanya sana. Hii miaka mitano anayokwanda nayo, sasa hivi bado tunafahamishana fahamishana tu lazima kila mtu ajue filosofi ya mama ni nini!
Atamaliza, tutamuongezea miaka mitano mingine kwa utamaduni wa chama cha Mapinduzi, Mama Samia lazima apate kipindi chake kama marais waliotangulia.
===========
Kassim Majaliwa: Nataka kuwahakikishia tena, Serikali yenu iko makini na maam yetu kwenye eneo hili anaendelea kutenda haki. Leo miezi sita tu, ana miaka mitano tutamjumlishia miaka mitano mingine, bado ana nafasi ya kufanya sana. Hii miaka mitano anayokwanda nayo, sasa hivi bado tunafahamishana fahamishana tu lazima kila mtu ajue filosofi ya mama ni nini!
Atamaliza, tutamuongezea miaka mitano mingine kwa utamaduni wa chama cha Mapinduzi, Mama Samia lazima apate kipindi chake kama marais waliotangulia.