Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Wafe tuu watatupunguzia kero mitandaoniKwa hiyo 10 inaanzia 2025? Utaua watu kwa pressure mzee, Maana kuna watu wakisia jina Samia wanachanganyikiwa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafe tuu watatupunguzia kero mitandaoniKwa hiyo 10 inaanzia 2025? Utaua watu kwa pressure mzee, Maana kuna watu wakisia jina Samia wanachanganyikiwa kabisa
Anajua na yeye bata la uwaziri mkuu kwa miaka 10 zaidi .Majaliwa anataka Kutuambia Iwe isiwe lazima Samia awe Rais Wa Nchi Kwa Miaka 10 ijayo?View attachment 1954326
Hahaha, ni kweli mzee! Watu wanajua kujiposition, maana hajui akiingia mtu mpya atakuja na mikato ipi!! Hataki kimtokee kilichowatokea akina Bashiru, Polepole, Kalemani, Dotto James na wengineo...!Anajua na yeye bata la uwaziri mkuu kwa miaka 10 zaidi .
Hapo anajiongelea
Ngoja tusubiri tuone kati yake yeye na Mungu, nani Fundi.Majaliwa anataka Kutuambia Iwe isiwe lazima Samia awe Rais Wa Nchi Kwa Miaka 10 ijayo?View attachment 1954326
Nimachounga mkono kuwa aendelee ni kikundi hiki kinachojipanga dhidi yake ambacho sina imani nacho hata kidogo. Hivyo naunga mkono hoja ya PM 100% Mama aendelee.Huyu mwalimu hesabu zinampiga chenga, Samia hata akipata awamu mbili bado atakuwa rais kwa miaka 9 na miezi kadhaa.
Na kwa mwenendo wake huu wa kurudisha majambazi na wanamtandao wapiga dili serikalini, niwawashangaa 'wazalendo' wetu uchwara kama wataruhusu aendelee past 2025.
Sidhani Kama atakuwa Pm Tena labda uslamu UmbebeNimachounga mkono kuwa aendelee ni kikundi hiki kinachojipanga dhidi yake ambacho sina imani nacho hata kidogo. Hivyo naunga mkono hoja ya PM 100% Mama aendelee.
We sema kwa utaratibu anatakiwa akae miaka 9 sio uongee kama vile maamuzi ni ya kwako. Inaweza pigwa U-turn usiamini kinachotokea, na jeshi likishakuwa upande wake hakuna wa kuleta fonyo fonyo.Hata akiwa rais after 2025 election, Hawezi kuwa rais kwa miaka 10, Maximum atakaa miaka 9 tu
Kassim Majaliwa asitake kujipendekeza kwa Samia
sio anaogopa kutumbuliwa. Anampaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili Mama ajipweteke kuona anakubalika. Ila dakika za mwisho watamgeuka vibaya bibi wa watu mpaka asijue kilichomkuta. Mama hajui tu ila maadui zake wakubwa ni hao hao wanaosadikika kuwa wasaidizi wake.Huyu naye anaogopa kutumbuliwa
Majaliwa anataka Kutuambia Iwe isiwe lazima Samia awe Rais Wa Nchi Kwa Miaka 10 ijayo?
===========
Kassim Majaliwa: Nataka kuwahakikishia tena, Serikali yenu iko makini na maam yetu kwenye eneo hili anaendelea kutenda haki. Leo miezi sita tu, ana miaka mitano tutamjumlishia miaka mitano mingine, bado ana nafasi ya kufanya sana. Hii miaka mitano anayokwanda nayo, sasa hivi bado tunafahamishana fahamishana tu lazima kila mtu ajue filosofi ya mama ni nini!
Atamaliza, tutamuongezea miaka mitano mingine
View attachment 1954361
Labda wewe na bibi yako ndio huchanganyikiwaKwa hiyo 10 inaanzia 2025? Utaua watu kwa pressure mzee, Maana kuna watu wakisia jina Samia wanachanganyikiwa kabisa
Hutaki hamia BurundiHuko kwao Zanzibar sio huku kwetu.