Majaliwa anataka Kutuambia Iwe isiwe lazima Samia awe Rais Wa Nchi Kwa Miaka 10 ijayo?
===========
Kassim Majaliwa: Nataka kuwahakikishia tena, Serikali yenu iko makini na maam yetu kwenye eneo hili anaendelea kutenda haki. Leo miezi sita tu, ana miaka mitano tutamjumlishia miaka mitano mingine, bado ana nafasi ya kufanya sana. Hii miaka mitano anayokwanda nayo, sasa hivi bado tunafahamishana fahamishana tu lazima kila mtu ajue filosofi ya mama ni nini!
Atamaliza, tutamuongezea miaka mitano mingine kwa utamaduni wa chama cha Mapinduzi, Mama Samia lazima apate kipindi chake kama marais waliotangulia.
Huyu mwalimu hesabu zinampiga chenga, Samia hata akipata awamu mbili bado atakuwa rais kwa miaka 9 na miezi kadhaa.
Na kwa mwenendo wake huu wa kurudisha majambazi na wanamtandao wapiga dili serikalini, niwawashangaa 'wazalendo' wetu uchwara kama wataruhusu aendelee past 2025.
Huyu mwalimu hesabu zinampiga chenga, Samia hata akipata awamu mbili bado atakuwa rais kwa miaka 9 na miezi kadhaa.
Na kwa mwenendo wake huu wa kurudisha majambazi na wanamtandao wapiga dili serikalini, niwawashangaa 'wazalendo' wetu uchwara kama wataruhusu aendelee past 2025.
Approximately to 10 mkuu hahaha, hamna wa kushindana na mwenyekiti wa CCM, hilo sahau!! Tumaini pekee kama tungekuwa na upinzani imara, siyo huu upinzani tulionao sasa!! Hao wazalendo uchwara wakitupiwa tumifupa kidogo tu utashangaa kama ni wao, wataturn 180 degrees
Huyu mwalimu hesabu zinampiga chenga, Samia hata akipata awamu mbili bado atakuwa rais kwa miaka 9 na miezi kadhaa.
Na kwa mwenendo wake huu wa kurudisha majambazi na wanamtandao wapiga dili serikalini, niwawashangaa 'wazalendo' wetu uchwara kama wataruhusu aendelee past 2025.
Huyu mwalimu hesabu zinampiga chenga, Samia hata akipata awamu mbili bado atakuwa rais kwa miaka 9 na miezi kadhaa.
Na kwa mwenendo wake huu wa kurudisha majambazi na wanamtandao wapiga dili serikalini, niwawashangaa 'wazalendo' wetu uchwara kama wataruhusu aendelee past 2025.
Huyu mwalimu hesabu zinampiga chenga, Samia hata akipata awamu mbili bado atakuwa rais kwa miaka 9 na miezi kadhaa.
Na kwa mwenendo wake huu wa kurudisha majambazi na wanamtandao wapiga dili serikalini, niwawashangaa 'wazalendo' wetu uchwara kama wataruhusu aendelee past 2025.