Kassim Majaliwa: Atamaliza, tutamuongezea miaka mitano mingine kwa utamaduni wa chama cha Mapinduzi

Mzee mbona Ana HARAKA ? KWANINI TUSISUBIRI AMALIZE na Pia Tusubiri UTARATIBU wa VIKAO vya CHAMA?
Chama kimeshamaliza 2025 upande wa Rais, bado wabunge na madiwani!! Muda huu chama kipo kwenye hesabu ya 2030!! Sasa wale wengine wao kutwa mahakamani na kutukana mitandaoni, wakipigwa 2025 na 2030 wanasema wameibiwa kura, wakati maandalizi ni 0!!
 
Ndo akazane kumpamba mama sasa
 
Wewe ndie mzalendo uchwala. Mama bado yupo sana mpaka 2030.

Tatizo la raisi Samia ni nini? Unampangiaje watu wakufanya nae kazi. Hebu kwendeni huko na hizo chuki zenu na unafiki wenu.
 
Ukiona Wanakusifia Saaaaaaana Ujue Unaendesha Wrong Way... (Rejea sifa alizopewa Mwendazake)
 
Naona Bwa. Kassim anataka kuwa waziri mkuu wa kwanza duniani kuwa madarakani kwa miaka 15...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…