BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Huyo na msoga ni damudamu!Msoga wanamlia "timing" so inabidi achukue tahadhari kwa Kila hatua!
Rest in Peace Balozi wa Tanzania nchini Austria!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo na msoga ni damudamu!Msoga wanamlia "timing" so inabidi achukue tahadhari kwa Kila hatua!
Rest in Peace Balozi wa Tanzania nchini Austria!
Hivi ndivyo ninavyoweza kusema, naona unapiga makelele tu na impact ni sufuri bin sufuri.
Lugha rahisi ninavyoweza kutumia ni kwamba unapuyanga tu, watendaji wa serikali hawakuogopi hata kidogo.
Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa Maji, tatizo ni serikali unayoisimamia haina makucha hata kidogo ndo maana watu wanaendelea kupiga tu.
Kasim Majaliwa wa Magufuli siyo wa Samia, Kasim Majaliwa wa Magufuli alikuwa naogopwa kama RADI.
Watendaji walikuwa hawalali siku mbili mfululizo kabla ya ujio wako walikesha wakiandaa makablasha na kuweka taarifa sawa.
Nikiwa simiyu mwaka 2016 mkurugenzi wa wilaya ya maswa Trasias Kagenzi alikufa Kwa presha siku moja kabla hujafika wilayani hapo.
Enzi hizo defender zilikuwa tayari kubeba watuhumiwa baada ya kikao mda huo hizo, Leo hii nashangaa unawapa watu mda waandae taarifa za uongo na kujipanga.
Ulikuwa unaheshimika sana na nidhamu ilikuwepo Katika matumizi ya Mali za umma. Inakuwaje Leo takukuru hawaoni ufisadi hadi waambiwe?
Mama Samia anakuchoresha tu lakini unachofanya sasa ni kazi bure kwani yeye mwenyewe kakumbatia mafisadi.
Haya muheshimiwa endelee kupuyanga ila hatuachi kuiba huna meno wala effect.
pwahahaaaaaaaaaa.....sema kimeumana!!!!!muheshimiwa endelee kupuyanga ila hatuachi kuiba huna meno wala effect.
Sababu ya wahaya wengi majina kuishia S kama wagiriki ni ipi?Trasias Kagenzi
Bora na Majaliwa wa kasia lileHivi ndivyo ninavyoweza kusema, naona unapiga makelele tu na impact ni sufuri bin sufuri.
Lugha rahisi ninavyoweza kutumia ni kwamba unapuyanga tu, watendaji wa serikali hawakuogopi hata kidogo.
Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa Maji, tatizo ni serikali unayoisimamia haina makucha hata kidogo ndo maana watu wanaendelea kupiga tu.
Kasim Majaliwa wa Magufuli siyo wa Samia, Kasim Majaliwa wa Magufuli alikuwa naogopwa kama RADI.
Watendaji walikuwa hawalali siku mbili mfululizo kabla ya ujio wako walikesha wakiandaa makablasha na kuweka taarifa sawa.
Nikiwa simiyu mwaka 2016 mkurugenzi wa wilaya ya maswa Trasias Kagenzi alikufa Kwa presha siku moja kabla hujafika wilayani hapo.
Enzi hizo defender zilikuwa tayari kubeba watuhumiwa baada ya kikao mda huo hizo, Leo hii nashangaa unawapa watu mda waandae taarifa za uongo na kujipanga.
Ulikuwa unaheshimika sana na nidhamu ilikuwepo Katika matumizi ya Mali za umma. Inakuwaje Leo takukuru hawaoni ufisadi hadi waambiwe?
Mama Samia anakuchoresha tu lakini unachofanya sasa ni kazi bure kwani yeye mwenyewe kakumbatia mafisadi.
Haya muheshimiwa endelee kupuyanga ila hatuachi kuiba huna meno wala effect.
Sio kwamba haina makucha bali wote ni wezi hakuna wa kumvimbia mwenzakeKelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa Maji, tatizo ni serikali unayoisimamia haina makucha hata kidogo ndo maana watu wanaendelea kupiga tu.
inawezekana kabisa, Lowasa yalimshinda akaachia ngazi msoga family sio poaAnataman asiwepo kwenye hii serikali ila anaogopa tu kujiuzuru
Lowassa walimuonea sana,yaan uchafu walifanya wao ili kuokoa jahazi wakamwambia ajiuzulu ili wampe zawadi ya urais 2015inawezekana kabisa, Lowasa yalimshinda akaachia ngazi msoga family sio poa
Sasa kwa akili yako ulitegemea aseme nini juu ya afya ya raisi? Mimi nimewahi kuuguza na mgonjwa akafariki nikawakuta shangazi zangu nje ya hospital wakaniulizia maendeleo ya baba yao nikawajibu hali yake inatia moyo tu ila wakati huo kashafariki,kifo hakielezwi elezwi tu ovyo kuna namna yakuelezeaKiswawadu watu walimdharau tangu alipoongopa kuwa jamaa anapiga kazi kumbe yuko cold room kitambo
Very trueKwa sasa haogopwi kwa sababu rais wa sasa ni mnufaika wa ufisadi unaofanywa na mafisadi