Kassim Majaliwa enzi za Magufuli alikuwa akiogopwa kama radi, wa sasa anapuyanga tu

Kassim Majaliwa enzi za Magufuli alikuwa akiogopwa kama radi, wa sasa anapuyanga tu

Yaani wewe humuogopi hata mungu aise!! Unaogopa binadamu mwenzako. Kumbuka wizi ni dhambi tamaa za kuhonga mademu hapa duniani utatolea hesabu siku ya mwisho na utachomwa Moto na huo Moto ni wa milele. Sasa chagua kumuogopa mungu au binadamu. Kumbuka maisha tunayoishi ni mafupi kwenye biblia imeandikwa ni Miaka 70 na ikizidi happy basi ni hiruma ya mungu tu. Mnadanganyana tu eti kuna kutubu. Haiwezekani ndugu yangu kutubu ni swaga za kibinadamu tu ili kuharalisha dhambi. Mungu hatambui tobaa hata kidogo hasa unapofanya makusudi na ki ukweli hakuna dhambi ya bahati mbaya.
Hivi ndivyo ninavyoweza kusema, naona unapiga makelele tu na impact ni sufuri bin sufuri.

Lugha rahisi ninavyoweza kutumia ni kwamba unapuyanga tu, watendaji wa serikali hawakuogopi hata kidogo.

Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa Maji, tatizo ni serikali unayoisimamia haina makucha hata kidogo ndo maana watu wanaendelea kupiga tu.

Kasim Majaliwa wa Magufuli siyo wa Samia, Kasim Majaliwa wa Magufuli alikuwa naogopwa kama RADI.

Watendaji walikuwa hawalali siku mbili mfululizo kabla ya ujio wako walikesha wakiandaa makablasha na kuweka taarifa sawa.

Nikiwa simiyu mwaka 2016 mkurugenzi wa wilaya ya maswa Trasias Kagenzi alikufa Kwa presha siku moja kabla hujafika wilayani hapo.

Enzi hizo defender zilikuwa tayari kubeba watuhumiwa baada ya kikao mda huo hizo, Leo hii nashangaa unawapa watu mda waandae taarifa za uongo na kujipanga.

Ulikuwa unaheshimika sana na nidhamu ilikuwepo Katika matumizi ya Mali za umma. Inakuwaje Leo takukuru hawaoni ufisadi hadi waambiwe?

Mama Samia anakuchoresha tu lakini unachofanya sasa ni kazi bure kwani yeye mwenyewe kakumbatia mafisadi.

Haya muheshimiwa endelee kupuyanga ila hatuachi kuiba huna meno wala effect.
 
Pm Majaliwa alidanganya umma wazi wazi kabisa tena akiwa msikitini

NB: Sijawahi kumuamini Pm Majaliwa since day one anashika hiyo nafasi ni mtu asiye na weledi ,kazi inayo mfaa ni kuzindua gereza

"Ukuu hujenga heshima"
 
Shida sio kivuli kupinda mkuu, mti umeuwona lakini unavyokaribia kugusa chini.
 
Hivi ndivyo ninavyoweza kusema, naona unapiga makelele tu na impact ni sufuri bin sufuri.

Lugha rahisi ninavyoweza kutumia ni kwamba unapuyanga tu, watendaji wa serikali hawakuogopi hata kidogo.

Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa Maji, tatizo ni serikali unayoisimamia haina makucha hata kidogo ndo maana watu wanaendelea kupiga tu.

Kasim Majaliwa wa Magufuli siyo wa Samia, Kasim Majaliwa wa Magufuli alikuwa naogopwa kama RADI.

Watendaji walikuwa hawalali siku mbili mfululizo kabla ya ujio wako walikesha wakiandaa makablasha na kuweka taarifa sawa.

Nikiwa simiyu mwaka 2016 mkurugenzi wa wilaya ya maswa Trasias Kagenzi alikufa Kwa presha siku moja kabla hujafika wilayani hapo.

Enzi hizo defender zilikuwa tayari kubeba watuhumiwa baada ya kikao mda huo hizo, Leo hii nashangaa unawapa watu mda waandae taarifa za uongo na kujipanga.

Ulikuwa unaheshimika sana na nidhamu ilikuwepo Katika matumizi ya Mali za umma. Inakuwaje Leo takukuru hawaoni ufisadi hadi waambiwe?

Mama Samia anakuchoresha tu lakini unachofanya sasa ni kazi bure kwani yeye mwenyewe kakumbatia mafisadi.

Haya muheshimiwa endelee kupuyanga ila hatuachi kuiba huna meno wala effect.
Bora na Majaliwa wa kasia lile
 
Kiswawadu watu walimdharau tangu alipoongopa kuwa jamaa anapiga kazi kumbe yuko cold room kitambo
Sasa kwa akili yako ulitegemea aseme nini juu ya afya ya raisi? Mimi nimewahi kuuguza na mgonjwa akafariki nikawakuta shangazi zangu nje ya hospital wakaniulizia maendeleo ya baba yao nikawajibu hali yake inatia moyo tu ila wakati huo kashafariki,kifo hakielezwi elezwi tu ovyo kuna namna yakuelezea
 
Huwezi kuongoza nchi watu milioni 60 kama familia binafsi. Mambo ya kuogopa mtu mmoja ya wawili ni ushamba na porojo za kupoteza muda kama maigizo tu. Nchi inatakiwa ijiendeshe kwa mifumo na kitaasisi.
 
Back
Top Bottom