Kassim Majaliwa: Meneja wa TANESCO na wenzake wasimamishwe hadi uchunguzi ukamilike

Kassim Majaliwa: Meneja wa TANESCO na wenzake wasimamishwe hadi uchunguzi ukamilike

Asilimia 95 ya maengineer wa shirika la umeme tanesco ni wazee wenye miaka 55-60 . Wanafanya kazi kwa mazoea na uzoefu bila kujali, na hawako tayari kuajiri maengineers vijana . Shirika hili linahitaki lifumuliwe vinginevyo SGR ikianza watamaliza watanzania kabisa.mwenyekiti wa bodi ya TANESCO naye amejisahau pamoja na bodi yake.0689877735 huyu ndiye tatizo kubwa TANESCO mtafuteni . Mkimuondoa mmefanikiwa na umeme utafungwa kila mahali tanzania. Na hautazima tena.
ATHANASIUS NANGALI

1621506002040.png


 
Nonsense, how comes the minister was not aware that Tanesco has no offsite backup for billing/payment? Wote walitakiwa kuondoka, sema tu nchi hii tumerithi mambo na tawala za uonevu.
Naamini hiyo ni kumtwisha zigo Waziri bure bure. Hizo issue nyingine ni too technical, Mkurugenzi Mkuu ndiyo alitakiwa kuyaelewa haya.
 
Umeme si umerudi?
Wasameheni basi, au wapigwe faini maisha yaendelee🤣🤣🤣🤣🤣
 
Asilimia 95 ya maengineer wa shirika la umeme tanesco ni wazee wenye miaka 55-60 . Wanafanya kazi kwa mazoea na uzoefu bila kujali, na hawako tayari kuajiri maengineers vijana . Shirika hili linahitaki lifumuliwe vinginevyo SGR ikianza watamaliza watanzania kabisa.mwenyekiti wa bodi ya TANESCO naye amejisahau pamoja na bodi yake.0689877735 huyu ndiye tatizo kubwa TANESCO mtafuteni . Mkimuondoa mmefanikiwa na umeme utafungwa kila mahali tanzania. Na hautazima tena.
Shirika la Tanesco limejaa ukiritimba sana mwaka 2018 waliita vijana na kuwafanyia interview kitengo Cha mikataba na hakuna ambaye ameitwa kwenye ajira Mpaka sasa , huku ni kuwanyima haki vijana kupata ajira.
 
Shirika la Tanesco limejaa ukiritimba sana mwaka 2018 waliita vijana na kuwafanyia interview kitengo Cha mikataba na hakuna ambaye ameitwa kwenye ajira Mpaka sasa , huku ni kuwanyima haki vijana kupata ajira.
SHirika liko wilaya zote nchini ,ila ajira zake hata NGO zinawashinda.
 
SHirika liko wilaya zote nchini ,ila ajira zake hata NGO zinawashinda.
Inashangaza sana Kuwaita vijana nchi nzima halafu unasitisha mchakato.

Hapa kinachoonekana kuna harufu ya kutoa hizo nafasi Kwa watu wao wa karibu sio haki kabisa,

Upo umuhimu wa kuwathamini vijana na kuwapa nafasi pale inapobidi.
 
ATHANASIUS NANGALI

View attachment 1791634

Namba yake ya simu tumeiweka hapo ili mtambue mtumishi wa shirika hilo ambaye ni msumbufu,ofisini hakai,site haonekani, miradi mipya ameikalia mezani haifanyiki wala hajui itafanyika lini,maintance kwa line za zamani haifaniki,nguzo za tanesco zimejazwa kwenye ofisi za tanesco wateja hawapewi,wateja wanaotakiwa kufungiwa umeme bila kununua nguzo hawapewi umeme wanaambiwa waone wakuu wa wilaya, REA wanaweka transformers ndogo ambazo hazina uwezo wa kuzalisha umeme wa kiwanda kikubwa, shirika linaelekea kusikia.
 
Bakiapu inaingia kwa kuwa na maneno.. kumekucha.. kila drama itaonekana mwaka huu.. mwisho wa siku.. lazima watunenepee

💸💸💸 🤑

Kazi iendelee..
 
Shirika la Tanesco limejaa ukiritimba sana mwaka 2018 waliita vijana na kuwafanyia interview kitengo Cha mikataba na hakuna ambaye ameitwa kwenye ajira Mpaka sasa , huku ni kuwanyima haki vijana kupata ajira.
Mameneja wa TANESCO mikoa yote na wilaya zote sasa ni wazee na hawana mpango wa kuwaanda vijana kulitumikia shirika hilo.
 
Tunataka Waziri Mkuu safari hii au awamu hii ya 6 awe MKALI KWELI KWELI, hatutarajii tena kusikia uzembe miongoni mwa mawaziri, ubadhirifu ktk Halmashauri au Idara zozote za serikali.

Akemee na achukue HATUA STAHIKI MARA MOJA, huu sio muda wa kupambana wala kubembelezana.

Ufuatiliaji na kuchukua hatua mara moja
 
Tanesco hadi leo mkoa wowote huwezi kupata umeme bila hongo ya shilingi 200,000/_ kama unaishi ngazi ya mkoani. Hiyo ni hongo bei ya nguzo haimo. Na pesa ni ya injinia mkuu na men's nj a mkoa . W.ananchi wanyonge tunalipa na mengi ,na y'all hata kipindi cha JPM. Wanaosema mwendazakealikomesha rushwa labda ni sayari nyingine not Tz.
 
Michezo tu hii,naoana watu wanataka kula tena nishati kama Enzi za Baba Riz 1,Kalemani nawewe Siku zako zinahesabiwa ili watu wafanye Yao vizuri lazima nawewe uwe nje ya circle
 
Labda ni njia mbadala ya kuahirisha changamoto zinazolikabili shirika



  1. Mapema mwaka huu MD alijitokeza na kusema maji bwawani Mtera ni mengi sana yanakaribia kuzidi limits za bwawa
  2. Siku chache baadaye umeme ukaanza kukatikakatika wakaja na sababu kuwa kuna chuma kimesagika hakikuwa kinafanyiwa lublication
  3. Baadaye tena wakasema chuma kimeagizwa nje bado kinachongwa kitafika nchini mwezi wa nne
  4. Juzi wamekuja na excuse ya mifumo, hivi kweli shirika kubwa namna hiyo, wananunua magari ya 400M ya kutembelea viongozi halafu washindwe kununua backup machines!!
Hili la back-up lilistahili kuchukuliwa kwa uzito mkubwa maana umeme ni muhimu sio tuu kwa maisha ya kawaida bali kwa uchumi mpana kwa ujumla. Mfumo wa back-up ulitakiwa uwe na uwezo wajuu wa kuhimili changamoto za mahitaji ya ununuzi wa umeme.
 
Mfumo wa back-up ulitakiwa uwe na uwezo wajuu wa kuhimili changamoto za mahitaji ya ununuzi wa umeme.
Nilisikia kuwa mifumo yote ya serikali inasimamiwa na eGA cha kushangaza ni kwamba eGA bao hawakulijua hilo!!!?
 
Back
Top Bottom