johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri mkuu mh Majaliwa amewataka Takukuru kuhakikisha inawashughulikia wanasiasa wanaorubuni wapiga kura au kununua uongozi katika uchaguzi mkuu.
Mh Majaliwa amesema Takukuru iwashughulikie watu hao bila kujali iumaarufu wao.
Chanzo: ITV habari!
Mh Majaliwa amesema Takukuru iwashughulikie watu hao bila kujali iumaarufu wao.
Chanzo: ITV habari!