Pre GE2025 Kassim Majaliwa: Tujiulize kwanini matukio ya uuaji na utekaji yanatokea karibu na uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Serikali ambaye hata viongozi hawajui kazi zao na wajibu wao. Je huyu chawa ana mlalamikia nani
 
Alitekwa na nani,na kwa nini atekwe yeye tu!?

..Mzee Ally Kibao alitia nia kugombea ubunge jimbo la Handeni kwa tiketi ya Cuf.

..siku ya kurudisha fomu akatekwa, akaja kupatikana akiwa amepigwa, na mchakato wa kurudisha fomu umepita.

..serikali huwa haifanyi uchunguzi kwa matukio yanayohusu wapinzani. Waliomteka wakati huo bado hawajakamatwa.
 
Nchi ya hovyo sana hii, Jeshi la polisi linaweza kufanya kazi yake na serikali inalisifia ikifika kwenye kupiga wananchi wasio na hatia.

Ila inapokuja kwenye majukumu yao halisi ya kulinda usalama wa raia, inaonekana jeshi hilo hilo haliwezi kufanya hivyo peke yake.

Kwa tafsiri ya haraka jeshi la polisi Tanzania ni weak au linatumika vibaya na serikali.
 
Tujiulize akina nani?!! Yaani kauli anatoa yeye kama raia au waziri mkuu?!! No wonder he is to most inefficient primers this country has ever had
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…