Mwaka huu watachambia mawe inakuwaje wagombea wanaweka vigezo vya namna ya kampeni kufanyika hii sii miujiza mukiambiwa hakuna tume huru munabisha harafu msajili wa vyama haya hayasikii , harafu Majaliwa anasahau yeye na Magufuli na mawaziri wakuu wa mikoa makatibu wakuu makatibu tawala na mikoa na wilaya wakuu wa wilaya maafisa polisi na wanajeshi wote wanasema Magufuli ndio amefanya mambo mengi na mazuri na hakuna raisi amewahi fanya kama yeye mara ngapi Magufuli amesema waliachiwa serikali mbovu mbovu sasa tunaingia kwenye uchaguzi wamekuwa na uoga wataambiwa wananchi yote mabovu waliyoyakosea na ambayo yamevuruga uchumi wa nchi na maisha ya wananchi na ukosefu wa haki za binadamu na uminywaji wa uhuru wa kujieleza