sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,491
Hongera umeanza na rungwe, fuatia sehemu zingine, kama huku Monduli Arusha utafunaji wa hela za serikali ni wa kutisha: pesa za ruzuku ya chakula kwa wanafunzi, ruzuku ya vitabu, fedha za boresha elimu, n.k jitahidi uje na huku ukishindwa kabisa tafuta siku moja hata uvamie ghafla shule hata mbili ufanye utafiti.