KASULU: CCM yawaahidi wanakigoma na Watanzania 2025 kuwarejeshea tena kipenzi chao Samia Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya mengi mazuri,

KASULU: CCM yawaahidi wanakigoma na Watanzania 2025 kuwarejeshea tena kipenzi chao Samia Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya mengi mazuri,

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,128
Reaction score
1,896


CCM-tanzania yawaahidi wanakigoma na Watanzania kuwarejeshea tena kipenzi chao Mama Samian Suluhu Hassan 2025 Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya maajabu mengi,

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, hana masihara na jambo linalobusu maendeleo ya wananchi.

Amesema kuthibitisha hilo, katika kipindi chake kifupi ameweka histori ya kuwa kiongozi wa kwanza kufikisha umeme wa gridi mkoani Kigoma jambo ambalo halikuwa limefanyika katika kipindi cha zaidi ya miaka 60 ya uhuru nchi.

Shaka ameyasema hayo leo Oktoba 17, 2022, mjini Kasulu mkoani Kigoma, baada ya kupewa nafasi ya kuwasalimia wananchi akiwa katika msafara wa Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani humo.

"Ndugu Mwenyekiti (Rais Samia) ukitaka kujua raha angalia wana Kasulu leo wanavyoonesha mbwembwe, eti wanawasha taa mchana...baada ya miaka 60 ya uhuru wa nchi hii Rais Samia amefanya maajabu makubwa, Rais Samia hana mbambamba katika kuleta maendeleo ya Watanzania," amesema.

Amesema kinachofanywa na Ras Samia na serikali yake ni kutekeleza ahadi ya CCM ya kuwaletea maendeleo wananchi.

"Dawa ya deni ni kulipa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichukua dhamana ya deni kwa Watanzania na wana Kasulu na wana Kigoma mwaka 2020. Ndugu Mwenyekiti kwa hali tuliyoiona leo tumeshuhudia namna ambavyo mkilipa deni hili kupitia Ibara ya 80 pale ulipokwenda ukaweka jiwe la msingi la kuzindua shule ya kisasa kabisa, lakini tumeshuhudia namna ambavyo mnalipa deni hili kupitia uimarishaji na uboreshaji wa nishati ya umeme, Ibara ya 63 ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi inavyotekelezwa kwa ufanisi mkubwa," amesema.

===
 
Mama Samia hata akiletwa tena na CCM 2030 bado atashinda tuu,

Ona leo mpaka wapinzani wanahudhuria mikutano yake na wanalamba asali kwa kijiko,
Namwona bwana Zuberi Kabwe hayako mbali na meza
 
Rais Samia ana hofu gani ikiwa anajua kafanya mambo makubwa?

Mbona hotuba za wasaidizi wake zimejaa kikampeni kampeni kila pahala?

Kama kafanya makubwa si aweke uwanja wa siasa uwe sawa kwa vyama vyote vya siasa?
 
Rais Samia ana hofu gani ikiwa anajua kafanya mambo makubwa?

Mbona hotuba za wasaidizi wake zimejaa kikampeni kampeni kila pahala?

Kama kafanya makubwa si aweke uwanja wa siasa uwe sawa kwa vyama vyote vya siasa?
Hao wanaosema watamleta 2025 ni CCM sasa hapo mambo ya mikutano yanaingiaje?
 
Lakini Waha Mabahili sana,yaani zile Ng'ombe wamezipeleka Kigoma mjini leo baada ya kushauriana?

😂😂😆😆
 
View attachment 2391178

CCM-tanzania yawaahidi wanakigoma na Watanzania kuwarejeshea tena kipenzi chao Mama Samian Suluhu Hassan 2025 Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya maajabu mengi,

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, hana masihara na jambo linalobusu maendeleo ya wananchi.

Amesema kuthibitisha hilo, katika kipindi chake kifupi ameweka histori ya kuwa kiongozi wa kwanza kufikisha umeme wa gridi mkoani Kigoma jambo ambalo halikuwa limefanyika katika kipindi cha zaidi ya miaka 60 ya uhuru nchi.

Shaka ameyasema hayo leo Oktoba 17, 2022, mjini Kasulu mkoani Kigoma, baada ya kupewa nafasi ya kuwasalimia wananchi akiwa katika msafara wa Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani humo.

"Ndugu Mwenyekiti (Rais Samia) ukitaka kujua raha angalia wana Kasulu leo wanavyoonesha mbwembwe, eti wanawasha taa mchana...baada ya miaka 60 ya uhuru wa nchi hii Rais Samia amefanya maajabu makubwa, Rais Samia hana mbambamba katika kuleta maendeleo ya Watanzania," amesema.

Amesema kinachofanywa na Ras Samia na serikali yake ni kutekeleza ahadi ya CCM ya kuwaletea maendeleo wananchi.

"Dawa ya deni ni kulipa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichukua dhamana ya deni kwa Watanzania na wana Kasulu na wana Kigoma mwaka 2020. Ndugu Mwenyekiti kwa hali tuliyoiona leo tumeshuhudia namna ambavyo mkilipa deni hili kupitia Ibara ya 80 pale ulipokwenda ukaweka jiwe la msingi la kuzindua shule ya kisasa kabisa, lakini tumeshuhudia namna ambavyo mnalipa deni hili kupitia uimarishaji na uboreshaji wa nishati ya umeme, Ibara ya 63 ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi inavyotekelezwa kwa ufanisi mkubwa," amesema.

===
Mama anaupiga mwingi Sana aise, Nitamchagua 2025
 
Nyie sio Mungu? Mmeanza sasa kukufutu kama kipindi kile cha Magufuli.
Akifa kabla ya 2025 mtatuletea Mwigulu au Mpango?
 
"Jamii inayoumwa huchagua viongozi wanaoumwa." Hawa KIJANI na NJANO wamegundua siku nyingi tu kwamba wengi 'wenye nchi' wanaumwa.Na kwa mwendo huu tumeshageuzwa mabwege.
 
"Jamii inayoumwa huchagua viongozi wanaoumwa." Hawa KIJANI na NJANO wamegundua siku nyingi tu kwamba wengi 'wenye nchi' wanaumwa.Na kwa mwendo huu tumeshageuzwa mabwege.
Unaumwa Wewe ila Watanzania Ni mahodari na watulivu Sana kwenye kuchagua
 
View attachment 2391178

CCM-tanzania yawaahidi wanakigoma na Watanzania kuwarejeshea tena kipenzi chao Mama Samian Suluhu Hassan 2025 Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya maajabu mengi,

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, hana masihara na jambo linalobusu maendeleo ya wananchi.

Amesema kuthibitisha hilo, katika kipindi chake kifupi ameweka histori ya kuwa kiongozi wa kwanza kufikisha umeme wa gridi mkoani Kigoma jambo ambalo halikuwa limefanyika katika kipindi cha zaidi ya miaka 60 ya uhuru nchi.

Shaka ameyasema hayo leo Oktoba 17, 2022, mjini Kasulu mkoani Kigoma, baada ya kupewa nafasi ya kuwasalimia wananchi akiwa katika msafara wa Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani humo.

"Ndugu Mwenyekiti (Rais Samia) ukitaka kujua raha angalia wana Kasulu leo wanavyoonesha mbwembwe, eti wanawasha taa mchana...baada ya miaka 60 ya uhuru wa nchi hii Rais Samia amefanya maajabu makubwa, Rais Samia hana mbambamba katika kuleta maendeleo ya Watanzania," amesema.

Amesema kinachofanywa na Ras Samia na serikali yake ni kutekeleza ahadi ya CCM ya kuwaletea maendeleo wananchi.

"Dawa ya deni ni kulipa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichukua dhamana ya deni kwa Watanzania na wana Kasulu na wana Kigoma mwaka 2020. Ndugu Mwenyekiti kwa hali tuliyoiona leo tumeshuhudia namna ambavyo mkilipa deni hili kupitia Ibara ya 80 pale ulipokwenda ukaweka jiwe la msingi la kuzindua shule ya kisasa kabisa, lakini tumeshuhudia namna ambavyo mnalipa deni hili kupitia uimarishaji na uboreshaji wa nishati ya umeme, Ibara ya 63 ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi inavyotekelezwa kwa ufanisi mkubwa," amesema.

===
Mlete mzungu...........
 
Rais Samia ana hofu gani ikiwa anajua kafanya mambo makubwa?

Mbona hotuba za wasaidizi wake zimejaa kikampeni kampeni kila pahala?

Kama kafanya makubwa si aweke uwanja wa siasa uwe sawa kwa vyama vyote vya siasa?
Unakuogopa Wewe na Lissu 😂😂😂
 
View attachment 2391178

CCM-tanzania yawaahidi wanakigoma na Watanzania kuwarejeshea tena kipenzi chao Mama Samian Suluhu Hassan 2025 Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya maajabu mengi,

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, hana masihara na jambo linalobusu maendeleo ya wananchi.

Amesema kuthibitisha hilo, katika kipindi chake kifupi ameweka histori ya kuwa kiongozi wa kwanza kufikisha umeme wa gridi mkoani Kigoma jambo ambalo halikuwa limefanyika katika kipindi cha zaidi ya miaka 60 ya uhuru nchi.

Shaka ameyasema hayo leo Oktoba 17, 2022, mjini Kasulu mkoani Kigoma, baada ya kupewa nafasi ya kuwasalimia wananchi akiwa katika msafara wa Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani humo.

"Ndugu Mwenyekiti (Rais Samia) ukitaka kujua raha angalia wana Kasulu leo wanavyoonesha mbwembwe, eti wanawasha taa mchana...baada ya miaka 60 ya uhuru wa nchi hii Rais Samia amefanya maajabu makubwa, Rais Samia hana mbambamba katika kuleta maendeleo ya Watanzania," amesema.

Amesema kinachofanywa na Ras Samia na serikali yake ni kutekeleza ahadi ya CCM ya kuwaletea maendeleo wananchi.

"Dawa ya deni ni kulipa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichukua dhamana ya deni kwa Watanzania na wana Kasulu na wana Kigoma mwaka 2020. Ndugu Mwenyekiti kwa hali tuliyoiona leo tumeshuhudia namna ambavyo mkilipa deni hili kupitia Ibara ya 80 pale ulipokwenda ukaweka jiwe la msingi la kuzindua shule ya kisasa kabisa, lakini tumeshuhudia namna ambavyo mnalipa deni hili kupitia uimarishaji na uboreshaji wa nishati ya umeme, Ibara ya 63 ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi inavyotekelezwa kwa ufanisi mkubwa," amesema.

===
Sio tuu Kasulu bali Nchi nzima Rais anaupiga mwingi Sana kwenye sekta zote.
 
View attachment 2391178

CCM-tanzania yawaahidi wanakigoma na Watanzania kuwarejeshea tena kipenzi chao Mama Samian Suluhu Hassan 2025 Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya maajabu mengi,

===
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, hana masihara na jambo linalobusu maendeleo ya wananchi.

Amesema kuthibitisha hilo, katika kipindi chake kifupi ameweka histori ya kuwa kiongozi wa kwanza kufikisha umeme wa gridi mkoani Kigoma jambo ambalo halikuwa limefanyika katika kipindi cha zaidi ya miaka 60 ya uhuru nchi.

Shaka ameyasema hayo leo Oktoba 17, 2022, mjini Kasulu mkoani Kigoma, baada ya kupewa nafasi ya kuwasalimia wananchi akiwa katika msafara wa Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani humo.

"Ndugu Mwenyekiti (Rais Samia) ukitaka kujua raha angalia wana Kasulu leo wanavyoonesha mbwembwe, eti wanawasha taa mchana...baada ya miaka 60 ya uhuru wa nchi hii Rais Samia amefanya maajabu makubwa, Rais Samia hana mbambamba katika kuleta maendeleo ya Watanzania," amesema.

Amesema kinachofanywa na Ras Samia na serikali yake ni kutekeleza ahadi ya CCM ya kuwaletea maendeleo wananchi.

"Dawa ya deni ni kulipa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichukua dhamana ya deni kwa Watanzania na wana Kasulu na wana Kigoma mwaka 2020. Ndugu Mwenyekiti kwa hali tuliyoiona leo tumeshuhudia namna ambavyo mkilipa deni hili kupitia Ibara ya 80 pale ulipokwenda ukaweka jiwe la msingi la kuzindua shule ya kisasa kabisa, lakini tumeshuhudia namna ambavyo mnalipa deni hili kupitia uimarishaji na uboreshaji wa nishati ya umeme, Ibara ya 63 ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi inavyotekelezwa kwa ufanisi mkubwa," amesema.

===
Sema suuh!
 
Back
Top Bottom