T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Teh!!!Kuna vitu vinaogopeshaaaa[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Bora nitulize mshonoo hakyamungu mbona hatariiii hizii!!
Kapicha pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Kwema kabisa Mkuu!Teh!!!
Kwema lakini mkuu
Nimeonaaa yaniiiiiii!! 🙌🙌🙌🙌🙌Bora nyie wanawake sisi sasa[emoji1] ndo noma unaona wazoefu wanavyo tililika
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Dah hatariMamaeee nakumbuka siku nliowahi kupita rough road, baada ya siku 5 usiku wake naona kama vimaji maji vya njano vinanitoka, nikaingia Google na JF kutizama hil ni tatizo gani mara nikajiuliza au gono hili, asubuhi yake chap nikaenda dispensary kupima kama ni gono, nurse akanipima UTI na gonorrhea.
Majibu yakaja sina gono ila nina UTI nyingi, nikasema duuh ile ya kuchomeka tu na kutoa ndio UTI yote hii.
Nikaandikiwa na dawa nikawa natumia kwa muda wa siku tano, usaha unazidi kutoka tu.
Nikachukua dozi nyengine ushaha unazuia, dozi ukiisha usaha pale pale.
Nikikojoa mkojo unagawana njia, nikisimamisha mashine inauma kama inatogwa na sindano.
Nikasema hapa safari hii imekula kwangu.
Nikawa nakunywa maji mengi kama sina akili vizuri ili ku flush wale bacteria wa E.Coli ngoma ipo pale pale.
Nlidumu na tatizo hilo kwa muda wa miezi 6, ilikuwa ukitumia dawa linakupa moyo ukimaliza dozi ukikaa siku mbili tatizo linajirudia pale pale.
Mpk kuna dawa moja ya kijani jina nimeishasau ndio iliyonisaidia ndio tatizo la muasho na maumivu wakati wa kudindisha ndio iliyonisaidia.
Baada ya mda kupita ndio mkojo ukawa katika njia yake ya stream line.
Wakuu ogopeni sana rough road.
Halafu syphilis yani haina siri ukiumwa unatoka mapele mwili mzima ukijifanya nunda unaanza vimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huo ugonjwa ni wazamanj sana hapa duniani umeanza rekodiwa miaka 4000 iliyopitaKuna vitu vinaogopeshaaaa[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Bora nitulize mshonoo hakyamungu mbona hatariiii hizii!!
Kapicha pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Na wengine inajulikana wakijifunguaNi kweli kwa sisi Huwa zinachelewa kujitokeza unakuja kujua last stages na mambo yashakuwa worse
Aiseeehhh!!Halafu syphilis yani haina siri ukiumwa unatoka mapele mwili mzima ukijifanya nunda unaanza vimba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huo ugonjwa ni wazamanj sana hapa duniani umeanza rekodiwa miaka 4000 iliyopita
Si ndo ilitokea mara moja, haitatokea tena....Wee si utumie protection na ubaki njia kuu
Dalili ni kuwapima kwa njia ya damu, wengine wasafi hatari ila ndo hivyoMbona hamtuambii dalili za gono kwa wanawake ili tuwe aware nao..
NitaichomaYaah..chanjo ya hepatitis b ipo..ni dose tatu tu unachoma bega la kushoto.
Yakwanza..kisha ya pili baad ya mwezi kisha ya tatu baada ya miezi 6.
Kinga ni bora.
#MaendeleoHayanaChama
Vaa condomDuhhhhh kuna vitu vinaogopesha mnoo aiseee kwa hizi koments[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Acha nikitulize tu! Nimeogopaaaaaaa
ugonjwa gani alikuwa anaumwaNilimuona nilishindwa kula nzi wanamfuata kateseka miezi sita na kitu mpaka amefariki..
Gono unaumiza sana wanaume ila una siri.. Ila kaswende ni hauna siri kabisa unatakiwa uitwe kantangazeAiseeehhh!!
Gharama yakeYaah..chanjo ya hepatitis b ipo..ni dose tatu tu unachoma bega la kushoto.
Yakwanza..kisha ya pili baad ya mwezi kisha ya tatu baada ya miezi 6.
Kinga ni bora.
#MaendeleoHayanaChama
Gonorrheaugonjwa gani alikuwa anaumwa
Hosptali wanaanziga 5000 mpka 10000. Imekiwa dili ko wewe ukienda sema dokta chanjo hepatitis unanifanyia ngap? Haijahalalixhwa bei ni negotiationGharama yake
Si useme tu ni wewe usaidiwe😂😂😂😂😂😂Mzuka Wanajamvi!
Nadhani Ngoma cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu.
Tujiepusheni na ngono zembe!