valent
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 664
- 876
[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa hivi sitii mtu, nimekaa bench kitambo sana.. Kama kutia nitatia mama mtu mzima, anae ogopa kufa ila hivi vibinti havina hofu ya kufa, na kwanza vinataka kufa na wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Sasa hivi sitii mtu, nimekaa bench kitambo sana.. Kama kutia nitatia mama mtu mzima, anae ogopa kufa ila hivi vibinti havina hofu ya kufa, na kwanza vinataka kufa na wengi
Unaataka uone uji ukimwagikia kutoka kwenye dushe ama?Hakuna kapicha tuone mazee[emoji848][emoji848][emoji15][emoji15]????
Wewe ulikua unapiga palepale hukuacha ndio mana hukupona.Mamaeee nakumbuka siku nliowahi kupita rough road, baada ya siku 5 usiku wake naona kama vimaji maji vya njano vinanitoka, nikaingia Google na JF kutizama hil ni tatizo gani mara nikajiuliza au gono hili, asubuhi yake chap nikaenda dispensary kupima kama ni gono, nurse akanipima UTI na gonorrhea.
Majibu yakaja sina gono ila nina UTI nyingi, nikasema duuh ile ya kuchomeka tu na kutoa ndio UTI yote hii.
Nikaandikiwa na dawa nikawa natumia kwa muda wa siku tano, usaha unazidi kutoka tu.
Nikachukua dozi nyengine ushaha unazuia, dozi ukiisha usaha pale pale.
Nikikojoa mkojo unagawana njia, nikisimamisha mashine inauma kama inatogwa na sindano.
Nikasema hapa safari hii imekula kwangu.
Nikawa nakunywa maji mengi kama sina akili vizuri ili ku flush wale bacteria wa E.Coli ngoma ipo pale pale.
Nlidumu na tatizo hilo kwa muda wa miezi 6, ilikuwa ukitumia dawa linakupa moyo ukimaliza dozi ukikaa siku mbili tatizo linajirudia pale pale.
Mpk kuna dawa moja ya kijani jina nimeishasau ndio iliyonisaidia ndio tatizo la muasho na maumivu wakati wa kudindisha ndio iliyonisaidia.
Baada ya mda kupita ndio mkojo ukawa katika njia yake ya stream line.
Wakuu ogopeni sana rough road.
Vipimo ni 10k..kujua kama huna ama unao..ili usnzishiwr dozi..mana hawaezi choma chanjo kama tayari unawadudu.Gharama yake
Tumia ndomu..usijizime data.Nyie wakuda, nimekokota goma langu la kula kimasikhara vizuri kabisa bila tabu. Nikasema acha nipitie JF nisogeze muda kabla ya kuingia mzigoni. La haulaaaa, nakutana na huu uzi!
Nyege zote kushnei. Acha nikalale tu!
Duh!!...Rihana alimuambukiza kaswende Cris Brown alimpiga sana hadi wakaachana.
Mpaka kufika 40 uwe umekula 80 🙂 mbona wachache kama kweli umedhamiria kukimbiza namba inatakiwa iwe inasoma 100+Ukiwa na miaka 40 utakiwa uwe umekula mbusus 80
Huo ujinga sasaMpaka kufika 40 uwe umekula 80 [emoji846] mbona wachache kama kweli umedhamiria kukimbiza namba inatakiwa iwe inasoma 100+
Tatizo mbususu zimekuwa gharamaMpaka kufika 40 uwe umekula 80 🙂 mbona wachache kama kweli umedhamiria kukimbiza namba inatakiwa iwe inasoma 100+
Zipo za buku bukuTatizo mbususu zimekuwa gharama
😲😲😲😲Wapi huko mzeya hizo za buku
Ndio maana nikasema kwa wale wanaotaka kukimbiza namba na waliodhamiria kuwekeza nguvu zao katika uchakataji
AiseeNdio maana nikasema kwa wale wanaotaka kukimbiza namba na waliodhamiria kuwekeza nguvu zao katika uchakataji
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Nyie wakuda, nimekokota goma langu la kula kimasikhara vizuri kabisa bila tabu. Nikasema acha nipitie JF nisogeze muda kabla ya kuingia mzigoni. La haulaaaa, nakutana na huu uzi!
Nyege zote kushnei. Acha nikalale tu!
Na wewe umoNa badoooo mtakwisha sanaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Wapi huko mzeya hizo za buku