Kaswende na Gono noma

Kaswende na Gono noma

Wanaume tuns makosa ya kupima magonjwa kwa macho

Ukimuona mwanamke chuchu saa sita unaamini kuwa ni bikra😀

Ukimwona mneme kajazia kikalio unaamini hana ugonjwa wowote

Ukimuona kaoga anangaa, kavaa nguo nzuri na kofuli na bidhaa za ndani kapiga nyeupe pee huku uwanjani nyasi zote zimekatwa unaamini na damu yake ipo hivyo hivyo, kumbe imejaa viliwiluwi, unashawishika kuingia kichwakichwa bila kupima,,
 
Mzuka Wanajamvi!

Nadhani Ngoma cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu.

Tujiepusheni na ngono zembe!
The safe option to cure Kaswende and Gono when you have been affected by them is to cut down your dick and you'll never get it. Otherwise you need to be faithful to your beloved wife and pray to God to fail the temptation in your heart whenever you see the beautiful woman in front of you.
 
The safe option to cure Kaswende and Gono when you have been affected by them is to cut down your dick and you'll never get it. Otherwise you need to be faithful to your beloved wife and pray to God to fail the temptation in your heart whenever you see the beautiful woman in front of you.
Ngumu sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukilala na mwanamke mwenyw Gono kesho yake asubuhi majibu ushayapataa...!! Ubaya aliekupaa hata hajui kama anaumwaa wadada wanauwezo wa kuishi na gonoo miaka kibao..

Dawa Piga Ceftriaxone 2gm stat... Alafu malizia Azuma 1x1 kwa siku 6..!!

Usirudie kugongaa manzi aliekupaa gonoo maana utajua hujuii..
Na kimasihara nyingi ndio zina connect gono
 
Kwani Nani hapendi kutulia? Tatizo wenza wetu, Mara anaumwa na tumbo, Mara amechoka Sana, ilimradi tu akunyime utelezi. Huko nje nako Kuna mitoto Ina taarabu hatari, kumbe wameoza chini.
Kweli mkuu, eeh! Mwanamke asie jua majukumu yake vizuri utajikuta wachepuka
 
Cha kushangaza kampeni za kupinga ngono zembe haziongelei haya magonjwa mengine. Wangekuwa wanaweza wazi kama mtoa mada, hawa pisi kali tungekuwa tunawala kwa macho tu na wengi tungekuwa tumeshajenga 🤣😂🤣😂
 
Cha kushangaza kampeni za kupinga ngono zembe haziongelei haya magonjwa mengine. Wangekuwa wanaweza wazi kama mtoa mada, hawa pisi kali tungekuwa tunawala kwa macho tu na wengi tungekuwa tumeshajenga 🤣😂🤣😂
Kabisaa tena hapo ingependeza uzi usindikizwe na vipicha ili tuelewe zaidi
 
Wanaume tuns makosa ya kupima magonjwa kwa macho

Ukimuona mwanamke chuchu saa sita unaamini kuwa ni bikra[emoji3]

Ukimwona mneme kajazia kikalio unaamini hana ugonjwa wowote

Ukimuona kaoga anangaa, kavaa nguo nzuri na kofuli na bidhaa za ndani kapiga nyeupe pee huku uwanjani nyasi zote zimekatwa unaamini na damu yake ipo hivyo hivyo, kumbe imejaa viliwiluwi, unashawishika kuingia kichwakichwa bila kupima,,
Basi huyu mimi kabisa, huwa najilipua hivyo ila kwa sasa hapana
 
Tatizo linakuwa hata na wao wanawake hawajisikii raha bila kumwagiwa ndani.

Hapo ndy shida inapoanzia,,

Nilishaachwa na mwanamke sababu tu natumia mpira,,
Na yeye mwenda peku peku.
 
The safe option to cure Kaswende and Gono when you have been affected by them is to cut down your dick and you'll never get it. Otherwise you need to be faithful to your beloved wife and pray to God to fail the temptation in your heart whenever you see the beautiful woman in front of you.
To cut down your dick, hahahaaa. Impossible action mkuu!...
 
Tatizo linakuwa hata na wao wanawake hawajisikii raha bila kumwagiwa ndani.

Hapo ndy shida inapoanzia,,

Nilishaachwa na mwanamke sababu tu natumia mpira,,
Na yeye mwenda peku peku.
Mambo cum inside...hahaaa hakuna feeling tamu kama hiyo duniani...sio kwa ke wala me.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom