Kaswende na Gono noma

Kaswende na Gono noma

Ukilala na mwanamke mwenyw Gono kesho yake asubuhi majibu ushayapataa...!! Ubaya aliekupaa hata hajui kama anaumwaa wadada wanauwezo wa kuishi na gonoo miaka kibao..

Dawa Piga Ceftriaxone 2gm stat... Alafu malizia Azuma 1x1 kwa siku 6..!!

Usirudie kugongaa manzi aliekupaa gonoo maana utajua hujuii..
Inakuaje mkuu? Majibu una yainterpret aje? Nipe signs kaka mie nisie mzoefu just in case....
 
Dudu inawashaa...inaanza kunatia kwenye boxer viusahaa vinatokaa...ukikojoaa mkojo unkuwa kama unachoma choma sana.
Baadae unakua normal au hali inaprogress to worse?

That means if in 3 days up to two weeks after doing it raw, kama haujapata sign yoyote means bado haujawa successfully connected etiii

Mkojo unakua unachoma choma hali hiyo ni bearable au so so painful? Ni at some points au throughout whole urinating event
 
Baadae unakua normal au hali inaprogress to worse?

That means if in 3 days up to two weeks after doing it raw, kama haujapata sign yoyote means bado haujawa successfully connected etiii

Mkojo unakua unachoma choma hali hiyo ni bearable au so so painful? Ni at some points au throughout whole urinating event
yaah huwa inajionesha mapema san gono...labda syphills kidogo inaweza kuchelewa usipojitibiaa inakuwa worse aisee
 
Mzuka Wanajamvi!

Nadhani Ngoma cha mtoto. Yani hii makitu ni hatariiii. Nimeshuhudia kwa mtu Yani akikojoa mkojo Kaa mlenda halafu haufiki chini unanata nata kwa kudunda hewani kwenda chini na juu.

Tujiepusheni na ngono zembe!
Mkuu umeruka saa ngapi toka kutema nondo za Jupiter na Saturn hadi huko

1664279498308.png
 
Yaani ukihudumia PIS CAL 10 katika vipimo vya Mkojo 90% wana U.T.I conc..au PID(Pelvic Inflammatory Diseases)yaani wanatumiza sana..hawa viumbe ni watunzaji wa haya magonjwa sna
Nilikumbana wa UTI lakini alipokuja aliniambia sijui kaenda choo gani ana UTI anawashwa sana, kwa vile siku nyingi nikaamua kula asubuhi nikaoni mbona sio kawaida nikawa duka la dawa ikanituliza

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Herpes ni dubwana kubwa lisiloimbwa ila lina hatari mno..
Kuna vitu viko serious ila havipewi uzito.
HPV /HSV ni Virus huponi utatembea na hizo virus milele na kuna mda vina recur

Tatizo binadamu wa sikuhizi sio waoga, ngono imewekwa mbele mno
 
Ukipata manzi anakupenda kwel anakwambia ukwel me nilipata bahati hyo kidemu kikanambia kwel kimenasa Kaswende kiliniomba sana usiniache nakukubali sana sitaki nikufiche mambo yaliyonikuta nikakisaidia japo ilikuwa kwenye hatua mbaya nkaishi nacho hvyohvyo kibishi.
nikika kuwa Mfalme nitakuita nikupe cheo cha u "Sir" na nyota za kijeshi juu
 
Kuna vitu viko serious ila havipewi uzito.
HPV /HSV ni Virus huponi utatembea na hizo virus milele na kuna mda vina recur

Tatizo binadamu wa sikuhizi sio waoga, ngono imewekwa mbele mno
Ongeza na genital warts hapo, unakuta dushelele lina tunundu nundu hadi raha ya tendo inapotea
 
Kuna mgonjwa niliowai kwenda kumuona alikuwa mtu wa totoz ila alishafariki..Aisee!!! Uume umelika kama ufutio ana vidonda kibao akikojoa analia maumivu vidonda haviponi kuvaa nguo haweza anatakiwa apigwe na baridi ndo anapata afueni..

Ila ndo mkome.
duh pole mkuu najua niwewe
 
Back
Top Bottom