Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Kwa iyo kimoja tu kinatosha? Na chumban tu au na seblenKitunguu hiki ni cha dawa sio kitunguu maji cha kuliwa utakavyo kikata na kukimenya na kukiweka ndani ya chumba hakifai tena kuliwa unakiweka ndani ya chumba unacho lala ili kipate kuuwa Bacteria waliopo chumbani mwako unapo lala. unaweza kukiweka siku 7 kisha unakitupa.