Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii hapa ni Kata ya Maendeleo , Soko Matola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakushukuru kwa angalizoMbeya kuweni makin naona Arusha kimenuka chadema mjipange sawsawa
Mbeya kuweni makin naona Arusha kimenuka chadema mjipange sawsawa
Kata yangu hiyo, kwetu ni hapo Mtaa wa Kanisa, nyumba namba 4
Mkuu unataka kusema wazee wa vizingiti walikuzuia na wewe?Aiseeee !!! Hatimaye leo uzi wangu umeruhusiwa kwenda hewani .
Uliongea naye siyo ! basi hongera !Nilikutana nae juzi dar, tuliongea na nimemuelewa. Changamoto iliyopo na aliyosema ni jinsi ya kutangazwa, kuna hatihati matokeo yakapinduliwa na nilivyoona ni kama hana la kufanya kama hilo likitokea. Pole sugu
Naunga mkono hoja, japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM, lakini Sugu ni rafiki yangu na nampenda, kama ninavyo mpenda Halima Mdee, ila katika kuleta maendeleo hakuna namna, hakuna jinsi, maendeleo ya kweli ni CCM, maendeleo ni Magufuli, hivyo wana Mbeya na wana Kawe sasa wanataka maendeleo ya kweli, hivyo katika uchaguzi huu, watachagua, maendeleo!.Nilikutana nae juzi dar, tuliongea na nimemuelewa. Changamoto iliyopo na aliyosema ni jinsi ya kutangazwa, kuna hatihati matokeo yakapinduliwa na nilivyoona ni kama hana la kufanya kama hilo likitokea. Pole sugu
Mbona huwa nakuona sana Ghana kwa mwasimba.Kata yangu hiyo, kwetu ni hapo Mtaa wa Kanisa, nyumba namba 4
Sugu hana Cha kupoteza, kwa nn tulimlazimisha agombee wakati alitaka kustaafu kwa heshima?
Sisi atujawai kosea sababu sisi uwatunawasubilia kwenye konaMbeya kuweni makin naona Arusha kimenuka chadema mjipange sawsawa
Sisi watu wa Mbeya mjini tunajiuliza mbona Mbeya vijijini,Tukuyu nk wametawala CCM toka chama kimoja vywama vingi ni CCM tu lakini maendeleo atuyaoni yakuzidi mbeya mjini na tukilinganisha toka wanatawala wao na wakati wa sugu wakati wa sugu kwakweli tumepiga atuaNaunga mkono hoja, japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM, lakini Sugu ni rafiki yangu na nampenda, kama ninavyo mpenda Halima Mdee, ila katika kuleta maendeleo hakuna namna, hakuna jinsi, maendeleo ya kweli ni CCM, maendeleo ni Magufuli, hivyo wana Mbeya na wana Kawe sasa wanataka maendeleo ya kweli, hivyo katika uchaguzi huu, watachagua, maendeleo!.
Pole rafiki Sugu, pole rafiki Halima,
Kwaherini majimboni kwenu!.
P
Duh...!.sisi watu wa mbeya mjini tunajiuliza mbona mbeya vijijini,tukuyu nk wametawala ccm toka chama kimoja vywamavingi ni ccm tu lakini maendeleo atuyaoni yakuzidi mbeya mjini na tukilinganisha toka wanatawala wao na wakati wa sugu wakati wa sugu kwakweli tumepiga atua
tulia atulie kwanza
Mzee baba..unafukuzia uteuzi nin...mayala aka njaa...si maneno yanguNaunga mkono hoja, japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM, lakini Sugu ni rafiki yangu na nampenda, kama ninavyo mpenda Halima Mdee, ila katika kuleta maendeleo hakuna namna, hakuna jinsi, maendeleo ya kweli ni CCM, maendeleo ni Magufuli, hivyo wana Mbeya na wana Kawe sasa wanataka maendeleo ya kweli, hivyo katika uchaguzi huu, watachagua, maendeleo!.
Pole rafiki Sugu, pole rafiki Halima,
Kwaherini majimboni kwenu!.
P