antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Ww na nani? Huku tunaenda na Halima 2020 - 2025Duh...!.
Haya bana siasa za Mbeya...
Sisi huku kwetu Kawe, Bi Dada, hajafanya lolote kwa miaka 10!, kwa kauli moja wana Kawe tumeamua kumpumzisha!.
P
Duh..., basi utajikuta uko peke yako na kura yako itapotea bure!. Kawe tunataka maendeleo, maendeleo ni CCM, maendeleo ni Magufuli!.Ww na nani? Huku tunaenda na Halima 2020 - 2025
Maelezo zaidi na sababu ya kukinukisha.Mbeya kuweni makin naona Arusha kimenuka chadema mjipange sawsawa
Kwa Mwasimba ni Nonde. Enzi zile Nonde ilikuwa jamhuri ya kibabe Sana, ya kitemi mno. Mwasimba alishawahi kupandisha bendera yake na akasema Nonde sio Tanzania.Mbona huwa nakuona sana Ghana kwa mwasimba.
Kwetu segerea tunaye bona wa ccm,hajafanya chochote pamoja na kuwa chama cha maendeleo kama usemavyo.Naunga mkono hoja, japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM, lakini Sugu ni rafiki yangu na nampenda, kama ninavyo mpenda Halima Mdee, ila katika kuleta maendeleo hakuna namna, hakuna jinsi, maendeleo ya kweli ni CCM, maendeleo ni Magufuli, hivyo wana Mbeya na wana Kawe sasa wanataka maendeleo ya kweli, hivyo katika uchaguzi huu, watachagua, maendeleo!.
Pole rafiki Sugu, pole rafiki Halima,
Kwaherini majimboni kwenu!.
P
Mbeya watamchagua Sugu.. Magufuli atamchagua Tulia kuwa mbunge wa viti maalumu.. Mbeya kuwa na Wabunge wawili.Naunga mkono hoja, japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM, lakini Sugu ni rafiki yangu na nampenda, kama ninavyo mpenda Halima Mdee, ila katika kuleta maendeleo hakuna namna, hakuna jinsi, maendeleo ya kweli ni CCM, maendeleo ni Magufuli, hivyo wana Mbeya na wana Kawe sasa wanataka maendeleo ya kweli, hivyo katika uchaguzi huu, watachagua, maendeleo!.
Pole rafiki Sugu, pole rafiki Halima,
Kwaherini majimboni kwenu!.
P
Mkuu mbona sikuoni kwenye kampeni zetu za CCM?Naunga mkono hoja, japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM, lakini Sugu ni rafiki yangu na nampenda, kama ninavyo mpenda Halima Mdee, ila katika kuleta maendeleo hakuna namna, hakuna jinsi, maendeleo ya kweli ni CCM, maendeleo ni Magufuli, hivyo wana Mbeya na wana Kawe sasa wanataka maendeleo ya kweli, hivyo katika uchaguzi huu, watachagua, maendeleo!.
Pole rafiki Sugu, pole rafiki Halima,
Kwaherini majimboni kwenu!.
P
Wanambeya kama mimi kwa sasa ni tulia Mbeya tunahitaj maendeleo na ndo asili yetu harakati wakafanye ArushaMbeya na Watanzania tunamhitaji Sugu, nae pia ni zaidi ya wapiga meza/ makofi 50 mjengoni.
Hivi wewe unajua kazi ya Mbunge kweli au unagongea kwa mahaba.Duh...!.
Haya bana siasa za Mbeya...
Sisi huku kwetu Kawe, Bi Dada, hajafanya lolote kwa miaka 10!, kwa kauli moja wana Kawe tumeamua kumpumzisha!.
P
Nimeisha kupata id yako inasadifu surname yako 😂🤣, Mwaisa urudi tupige kura MwaisaKata yangu hiyo, kwetu ni hapo Mtaa wa Kanisa, nyumba namba 4
unazeeka vibaya ,mzee mzima unakuwaje mnafki na roho ya kichawiNaunga mkono hoja, japo mimi ni kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM, lakini Sugu ni rafiki yangu na nampenda, kama ninavyo mpenda Halima Mdee, ila katika kuleta maendeleo hakuna namna, hakuna jinsi, maendeleo ya kweli ni CCM, maendeleo ni Magufuli, hivyo wana Mbeya na wana Kawe sasa wanataka maendeleo ya kweli, hivyo katika uchaguzi huu, watachagua, maendeleo!.
Pole rafiki Sugu, pole rafiki Halima,
Kwaherini majimboni kwenu!.
P