Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
@Sugu sambaratisha huyo Betina
Naona akili inaanza kukurudiaKuna wabunge hawa wa upinzani wakikosekana Bunge letu tukufu litatunga hata sheria za kodi ya kichwa kwa kila mtanzania ili kuturudisha kwa mkoloni mweusi.
1. MH.SUGU -JOSEPH MBILINYI
2. MH.MSIGWA
3. MH.JOHN HECHE
4. MH.HALIMA MDEE
5. MH.ZUBERI ZITTO KABWE
6. MH MBOWE
7. MH G LEMA
8. MH BWEGE ACHANENI NAE NA UBWEGE WAKE
Nikumbusheni nimemsahau nani haijarishi chama chake?
Ester Bulaya na Ester MatikoKuna wabunge hawa wa upinzani wakikosekana Bunge letu tukufu litatunga hata sheria za kodi ya kichwa kwa kila mtanzania ili kuturudisha kwa mkoloni mweusi.
1. MH.SUGU -JOSEPH MBILINYI
2. MH.MSIGWA
3. MH.JOHN HECHE
4. MH.HALIMA MDEE
5. MH.ZUBERI ZITTO KABWE
6. MH MBOWE
7. MH G LEMA
8. MH BWEGE ACHANENI NAE NA UBWEGE WAKE
Nikumbusheni nimemsahau nani haijarishi chama chake?
Mwaka huu picha kama hizi zitawaaibisha Oktoba 28,Sugu ana hali mbaya sama Mbeya,unajifariji na picha za kubumba utachanika msamba.
Hii ni kata ya Sinde