figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Diwani wa kata ya Bangata ni Ndugu Erick Samson Mollel- CDM amepata kura 1200 akifuatiwa na Mgombea wa CCM kwa kura 200. chezea chopa wewe.
View attachment 69585
hahahahaaa...!!. mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diwani wa kata ya Bangata ni Ndugu Erick Samson Mollel- CDM amepata kura 1200 akifuatiwa na Mgombea wa CCM kwa kura 200. chezea chopa wewe.
View attachment 69585
What you mean?Hivi kwa nini mimi siwezi kupost zaidi ya kukomment au ndo BAN au ndo sijatoa hela au ndo?
Kuanzia sasa hivi sibanduki JF ni kwa lengo moja tu Updates za uhakika kwa hiyo huyu jamaa asituzigue matokeo yanaweza kuanza kupatika kuanzia saa kumbi na kuendeleaMatokeo tayari!???? usiniache niagize kreti na mbuzi nusu hapa
hapana mkuu zile tano bado tume inaweka usiku, hizi ni zile madiwani wake walifariki dunia.
Hata jeshi ni kwa heshima ya uoga na nidhamu ya uoga ukitaka uamini hilofatilia matokeo ya kambi za jeshi nani alisongozwa kwenye vituo hivyo mwaka 2010...Ccm haina chake nchi hii,mabavu ya majeshi tu ndio msaada mkubwa kwao.
ccm.....................hizi kata mbili za arusha ambazo uchaguzi unafanyika leo, kabla ya kuwa wazi zilikuwa zinashikiliwa na chama gani?
Kuanzia sasa hivi sibanduki JF ni kwa lengo moja tu Updates za uhakika kwa hiyo huyu jamaa asituzigue matokeo yanaweza kuanza kupatika kuanzia saa kumbi na kuendelea
Agiza na kitu bariiiidi maana mabo siyo mambaya tutawakimbisa tu hawa magamba...Laptop yangu hiko full charge, Wi-fi hiko full. Naangalia F1 (India) na kusubiri matokeo ya udiwani. Ratiba ya Siku imeshapangwa tayari.
Hizi kata mbili za Arusha ambazo uchaguzi unafanyika leo, kabla ya kuwa wazi zilikuwa zinashikiliwa na chama gani?
ccm.....................
Hapana mkuu kwa uchaguzi wa diwani nini uhakika ikishafungwa hiyo saa 10 hakutakuwa na msururu mrefu na kila mtu akiingia haichukui dakika dakika 5 na ikumbukwe kata zima wapiga kura hawazidi 5200 kama sikosei nikuhakikishei matokeo ya vituo tutayapata kuanzia saa kumi na moja na mpaka saa kumni na mbili au saa mja matokeo ya jumla tutakuwa tumesha yapata na tume wakizingua chadema tuna tume yetu tutajumlisha na kutangaza matokeo siyo muda wa kulialia huu...Kura huanza kuhesabiwa baada ya zoezi la kupiga kura kufungwa, inawezakana hadi saa 12 ndipo masanduku ya kura yafunguliwe, kama ni saa kumi huenda ikawa mapema mno huenda wengine walikuwa hawajafika kupiga kura kwa sababu ya kuwajibika.
Kama kura zingepigwa kwa computer hapo ni kitu kingine kwani kila inayoingia inaweza kuonyesha matoke
Moja ndiyo iko Arusha mjini na moja iko Arumeru magharibi lakini kwavyovyote vile ushindi wa chadema kwenye kata hivyo ni pigo kubwa kwa CCM...kata nyingi ambao uchaguzi wake unafanyika leo nyingi zilikuwa cha CCMabwepandeWow, sound good, maana yake Chadema kuzichuku ni kuizidi kuitupitilia mbali CCM ndani ya Arusha City limit.
Hiyo itakuwa burudani ya aina yake wallah!Sio kata mbili tu, zaidi ya kata 20 ni zetu, ukombozi ni sasa.
Nimezunguka kwenye kata mbili, Daraja mbili- Arusha mjiji na Bangata-Arumeru Magharibi. Tangu Asubuhi watu wamemiminika vituoni na katika Hali ya kutaharuki ccm walitaka kuwafanyia vurugu Lema na Nassari lakini wananchi wakaingilia Kati, Wafuasi kadhaa aw ccm wamepigwa. Kwa Kweli Hali ya ccm ni mbaya to the extent kwamba ole Medeye amepita kanisani kuomba kura Leo. Kama mwenendo ndio huu CDM watashinda kata zote mbili.