Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Imefikia mahali hadi nakosa raha kabisa yani watu niliwaamini kama ndugu zangu humu JF leo wananitenga nakunipakizia kashfa mbaya mbaya na chafu.
Mimi kama kijana nilikua sitaki kuoa nikuwa kijana lengo langu lilikua ni kuchakata mbususu hadi ntapofika umri wa miaka 70- 80+ ndo nitimize nusu ya dini (kama nngefka umri huu).
Sasa toka jana nilivopost kwamba ntaoa nikiwa na umri huo, kataa ndoa maarufu humu JF (wanajulikana) wameniandama, hawanipi ushirikiano tena kama sku zote na kunitishia kunitoa kwenye kampeni hyo.
Sasa imefikia muda nawaza nipeleke tu mahari kwa huyo mtoto ninaeishi nae (nikipata boom la mwezi wa 5) lakini moyo unaniambia kijana baki na msimamo wako, wanawake hawaaminiki ni kama wamasai tu hawana dhamana.
Ushauri: Nifanyaje niskilize moyo au nipeleke mahari?
Mimi kama kijana nilikua sitaki kuoa nikuwa kijana lengo langu lilikua ni kuchakata mbususu hadi ntapofika umri wa miaka 70- 80+ ndo nitimize nusu ya dini (kama nngefka umri huu).
Sasa toka jana nilivopost kwamba ntaoa nikiwa na umri huo, kataa ndoa maarufu humu JF (wanajulikana) wameniandama, hawanipi ushirikiano tena kama sku zote na kunitishia kunitoa kwenye kampeni hyo.
Sasa imefikia muda nawaza nipeleke tu mahari kwa huyo mtoto ninaeishi nae (nikipata boom la mwezi wa 5) lakini moyo unaniambia kijana baki na msimamo wako, wanawake hawaaminiki ni kama wamasai tu hawana dhamana.
Ushauri: Nifanyaje niskilize moyo au nipeleke mahari?