binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
📌📌
However huu uzi hautapata wachangiaji wengi.
However huu uzi hautapata wachangiaji wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mafisadi wa fisiemu, mwisho wao unakuaga nini kweli?Bora kuchelewa ila hio yako hainaga mwisho mzuri.
Sawa. Tushushie nondo kwa upande wako mkuu.Hapo kwa Mungu nimekubaliana mawe asilimia zote ila hayo mengine umetaja inaonyesha wazi hujui hela ndefu inakuja vp.....matajiri wengi tungeongea njia tulizopita kufika hapa , wengi wangeshtuka .
Ila kama unaongelea hela ya kula , sawa tu
Umeongea vema MkuuNawasalimu nyote.
Umasikini ni laana, tafiti tofauti zinaonyesha umasikini unarithishwa kwa hiyo unatakiwa kukaa ki machale kijana mwenzangu uliezaliwa kwenye familia masikini ili uondokane na hiyo laana isikukute wewe na vizazi vyako vinavyokuja vunja kabisa hilo daraja unatakiwa upambane sana katika uatafutaji wako ukifeli tu unakua daraja la laana. Fanya yafuatayo kuondoa hiyo laana.
1. Fanya kazi kwa bidii/ ufanisi
2.Uaminifu katika kazi.
3.Acha chuki na roho mbaya
4.Amini katika mungu
5.Acha ngono zembe/ Uasharati
6.Usishindane na mtu katika utafutaji wako( Kua na malengo yako).
Ongeza zingine ili wote tuzijue.