Kataa umasikini

πŸ“ŒπŸ“Œ

However huu uzi hautapata wachangiaji wengi.
 
Kuna koo zina umaskini wa kirithi - laana. Kila unachokifanya hutoboi.

Kwa hiyo bidii si kigezo pekee ya kuukwepa umaskini.
 
Hapo kwa Mungu nimekubaliana mawe asilimia zote ila hayo mengine umetaja inaonyesha wazi hujui hela ndefu inakuja vp.....matajiri wengi tungeongea njia tulizopita kufika hapa , wengi wangeshtuka .
Ila kama unaongelea hela ya kula , sawa tu
Sawa. Tushushie nondo kwa upande wako mkuu.
 
Umeongea vema Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…