Kataa zinaa na uasherati

Kataa zinaa na uasherati

images (24).jpeg
 
Yaan 🍆yangu, hela zangu, mikakati yangu na ramani zangu... Nimtafute mdada tukubaliane vzr sijamlaghai kivyovyote tumekutana vzr tumepiga show asubuhi tukapata supu heavy nkamsindikiza afike kwake au nikampa nauli aende na nkawasiliana nae mpaka akafika, tukaagana fresh bila makwazo!
Then, anakuja mtu kataa zinaa😁😁bro we hapo uhusika wako upo wapi? Unaumia nn? Nimelala na mdada kwa ridhaa yake we unapungukiwa nn?
 
Yaan 🍆yangu, hela zangu, mikakati yangu na ramani zangu... Nimtafute mdada tukubaliane vzr sijamlaghai kivyovyote tumekutana vzr tumepiga show asubuhi tukapata supu heavy nkamsindikiza afike kwake au nikampa nauli aende na nkawasiliana nae mpaka akafika, tukaagana fresh bila makwazo!
Then, anakuja mtu kataa zinaa😁😁bro we hapo uhusika wako upo wapi? Unaumia nn? Nimelala na mdada kwa ridhaa yake we unapungukiwa nn?
Mkuu hiyo ndiyo Zinaa yenyewe sasa😂
 
Back
Top Bottom