Rapture Man
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 439
- 145
- Thread starter
- #21
Ukitaka kujua kama katiba inayopenekezwa ni bora au sio bora isome ukiwa unailinganisha na rasimu ya Warioba hapo ndo utaelewa vizuri ..maana hii katiba imeandikwa kiujanja ujanja sana ukiisoma yenyewe peke yake unaweza ukajikuta unashawishika kuikubali.
kweli kabisa Mchiwa N.