Kataeni Katiba Pendekezwa: Jukwaa la Wakristo Tanzania


kweli kabisa Mchiwa N.
 

napata mashaka na uelewa wako kama kweli umeisoma katiba pendekezwa kwa umakini na ukaielewa na ukafanya ulinganifu na rasimu ya warioba. hebu chukua muda kuchambua kitu kabla hujaanza kukikosoa coz unatoa hoja kwa kudhani, umeshindwa kusema au kutoa hoja mustakabali naona unazunguka zunguka huku na kule ukitafuta hoja zisizo na mashiko mara katiba pendekezwa imeandikwa kwa ujanja ujanja, sasa kitu hujakisoma unajuaje yaliyomo
 

Mbona unatokwa povu mimi kusema isomwe kwa kulinganisha na rasimu ya Warioba. Kwa nini hamtaki kuisikia rasimu ya Warioba? Unakimbilia kusema sijaisoma, yaani ndo imekua wimbo wenu mtu akiwakosoa mnatokwa mapovu ooh! 'Hujaisoma'. Wewe unanijua mimi mpaka useme sijaisoma?
Kujibu hoja za msingi za wanaoikosoa hamjibu, mmekalia kuwashambulia watu hawajaisoma.
Haya nyie mlioisoma jibuni hoja;
Kwa nini nliondoa haya mawazo ya wananchi
1.ukomo wa ubunge
2.kuwawajibisha viongozi wa umma
3.Mbunge kua waziri
4.jinsi gani 50 kwa 50 ya wanawake itapatikana
5. Elimu ya Mbunge
Na hoja zingine nyingi
 
kweli kabisa mchiwa n.

wewe na mwenzio aliyechangia hapo juu hamjaisoma vema katiba inayopendekezwa, laiti mgeisoma mgeona mambo mengi ambayo kwenye rasimu ya warioba hayakuwekwa lakini kwenye katiba pendekezwa yamo kibao kibao, ushauri wangu mkaisome upya hiyo katiba then ndo muzilinganishe, na naamini mwisho wa siku katiba inayopendekezwa inaizidi ubora ile ya warioba kwa asilimia 99.9
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…