Hawakomi tuu si walifungiwa juzi tuu!KATARAMA KATARAMA KATARAMA!!!
Nilichoshudia Jana saa 11 jioni ktk hii BUS JIPYA lililokualinaeleka kwanza Kama walifika salama wamshukuru mungu na wasali Sana maana alikua ana overtake magari zaidi 3 sehemu yenye mlima alikua anauwa abia wake na kusababishia ajali BUS LA ADVENTURE,,kwa naombeni Kama raia mwema fuatilieni hii taarifa LATRA,,USALAMA BARABARANI
Wamefunguliwa kimya kimya au gari inatembea bila abiria?Hawakomi tuu si walifungiwa juzi tuu!
KATARAMA KATARAMA KATARAMA!!!
Nilichoshudia Jana saa 11 jioni ktk hii BUS JIPYA lililokualinaeleka kwanza Kama walifika salama wamshukuru mungu na wasali Sana maana alikua ana overtake magari zaidi 3 sehemu yenye mlima alikua anauwa abia wake na kusababishia ajali BUS LA ADVENTURE,,kwa naombeni Kama raia mwema fuatilieni hii taarifa LATRA,,USALAMA BARABARANI
Kwani lazima utukane?.Acha kuandika usenge hujasikia hivi karibuni walifungiwa kwa sababu ya kuchezea mfumo wa VTS?
Wewe huoni kama umeandika pumba? Sisi tunapigania usalama wa abiria wewe unaleta stori za vijiweniKwani lazima utukane?.
Fuata sheriaWenzetu nje wana barabara za spidi zote kubwa na ndogo. Wao huchagua kihekima wanataka Lane ipi. Choose wisely
Sie Bongo tumefanikiwa kuwa na mabasi ya spidi zote kubwa na ndogo. Chagua kihekima unataka basi lipi. Choose wisely
Lakini kuingia labe ya spidi usiyoitaka halafu kulazimisha wengine wote wafuate spidi unayoitaka, ni kinyume na sheria na sio ustaarabu.
D mbili tu ✌
Washindani wake hao, hawana lolote.Ninewahi kupanda bus lao mara mbili. Kuna wakati nadhani ni washindani wao wanapiga vita. Mara zote nilizopanda sikuona mwendo wa hatari Wala blind spot overtake. Badala yake sehemu zenye mwinuko hayo mabus mengine yakuwa yanapitwa kwa Kasi sana kutokana na uwezo wa bus husika(scania), Sasa kwa maoni yangu, huu ni ugomvi wa brand za magari na sio bus operators.
wakipata ajali mbele yangu kwa kweli msaada wangu ni kuwaibia.Kwani hizo gari zinakuaga tupu???
Wanaopanda humo wanaenjoy tena wanawamwagia sifa kedekede.