Ni either nyege au njaa inakusumbua unapata tabu namaisha yawatu kwan jamaa unaempigia kifua anakulipa shingapNingekuwa na Mamlaka naamini yale majinga yote yanayosimamaga mabarabarani kushangilia mabasi kwa kuyamwagia maji ningekuwa nayakamata na kuyaweka Jela yakalime huko,yake ndio yanayowapambaga madereva wa mabasi kuendesha kwa wkasi
TrueKampuni ya kisenge sana hiyo
Imewekeza kwenye speed kuliko huduma nzuri
Hii Nchi haiwezi kuwa na upumbav kama huo, mtu ana haki ya kufanya chochote ndani ya nchi yake isipokuwa asivunje sheria.Ningekuwa na Mamlaka naamini yale majinga yote yanayosimamaga mabarabarani kushangilia mabasi kwa kuyamwagia maji ningekuwa nayakamata na kuyaweka Jela yakalime huko,yake ndio yanayowapambaga madereva wa mabasi kuendesha kwa kasi
Gari zao nyuma zimeandikwa "jini kisirani" unategemea niniKATARAMA KATARAMA KATARAMA!!!
Nilichoshudia Jana saa 11 jioni katika hii BUS JIPYA lililokua linaelekea Mwanza kama walifika salama wamshukuru Mungu na wasali sana maana alikuwa ana overtake magari zaidi 3 sehemu yenye mlima alikuwa anaua abiria wake na kusababishia ajali BUS LA ADVENTURE.
Naombeni kama raia mwema fuatilieni hii taarifa LATRA, USALAMA BARABARANI
Usiibe iPhone 16 yangu tuu...wakipata ajali mbele yangu kwa kweli msaada wangu ni kuwaibia.
Mpuuzi ni wewe mwenye wivu Kama nga'aduAcha ujinga hatuzungumzii brands za mabasi hapa, kinachozungumziwa ni usalama wa abiria. Mpuuzi mkubwa wewe
Nionee wivu abiria kuhatarisha uhai wao? Unaandika upumbavuMpuuzi ni wewe mwenye wivu Kama nga'adu