JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Barabara hiyo ilifungwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko baada ya kujaa maji yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.
Aidha, Mhandisi Mwakabende amesema Serikali kupitia Rais wa Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya Shilingi Bilioni moja kukarabati barabara zote zilizoharibiwa na mafuriko.
Hali ilivyokuwa awali - Katavi: Barabara imefungwa baada ya mafuriko kukwamisha Abiria