Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
sikuoni ngomen siku hizi"If you are offended the problem is with you" - 😉😉😉
sikuoni ngomen siku hizi
karachi hii ya pakistan au UseriKaribu Karachi DALALI MKUU
karachi hii ya pakistan au Useri
Basi huyo mwandishi lazima kaona mkubwa akiwa uchi!Mwandishi wa Habari wa EATV Rebeka Kinyunyu amefukuzwa kushiriki ziara ya Waziri Mkuu Mh Kassim Majaliwa iliyoanza leo 12.12.2022 Mkoani humo bila kuelezwa sababu.
Aliyemfukuza ni Afisa habari Msaidizi Mkoa Katavi John Mganga ambae amedai kuwa amepokea maelekezo kutoka kwa katibu Tawala Mkoa wa Katavi Bw.Hassan Rugwa.
Kitendo hicho kimetafsiriwa kuwa ni uvunjwaji wa haki ya kupata taarifa na kuminya uhuru wa habari na ni udhalilishaji kwa Mwandishi Huyo.
Radio Free Africa
Kapicha mkuuMavazi ya mwandishi aliyefukuzwa si ya kistarabu na ya kiheshma na kwenye ziara ya waziri mkuu mavazi ya mwandishi huyu mara zote yamekuwa si ya kuridhisha
Taarifa zilizojiri zilieleza kwamba mwandishi alifika na vinasa "habari" vinavyochungulia hadi roho ya muongeaji.Taarifa za kiintelijensia zimeonyesha kuna hatari ingetokea