Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mbilinge zinaendelea za kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa. Huku tukiendelea kusikia mambo yanayotokea kwenye vituo vya kujiandikisha.
Leo huko Katavi yalitokea ni haya
==================
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Katavi, Rhoda Kunchela, pamoja na timu yake wanadaiwa kukamatwa na jeshi la polisi katika eneo la Inyonga, jimbo la Kavuu mkoani humo na kushikiliwa katika kituo cha polisi cha stendi ya zamani, Inyonga.
Rhoda na timu yake walikuwa wakihamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la mkazi kwa ajili ya kushiriki kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.
Soma Pia: Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Vide
Leo huko Katavi yalitokea ni haya
==================
Rhoda na timu yake walikuwa wakihamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la mkazi kwa ajili ya kushiriki kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.
Soma Pia: Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Vide