Katavi : Shule ya Msingi ina walimu sita tu, Mawimbi ya Radio hayafiki .

Katavi : Shule ya Msingi ina walimu sita tu, Mawimbi ya Radio hayafiki .

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Shule ya msingi Ilangu. Iliyopo katika kata ya Ilangu wilayani Tanganyika inakabiliwa na upungufu wa walimu pamoja na vyumba vya madarasa.

Siyajali Odasi ambae ni Makamu Mwenyekiti wa kijiji hicho amesema kuwa shule hiyo yenye wanafunzi zaidi ya mia tisa (900) iliyopo kijijini kwake ina walimu sita (6) tu,Pamoja na vyumba tisa(9) vya madarasa.

Pamoja na hayo katika kata hiyo kumekuwa na shida kubwa ya Maji kutokana na ukosefu wa visima vya maji kwani vilivyopo ni vichache kulinganisha na idadi ya wakazi wa kijijini hapo na pia vipo mbalimbali na hivyo basi hulazimika kutumia maji ya mito ambayo sio Salama kwa afya maana huchangia maji hayo pamoja na mifugo na hata msimu wa kiangazi maji hayo ya Mito hukauka.

Wakazi wa vijiji katika kata hiyo kulazimika kusafiri umbali wa kilomita 30 kufuata kituo cha afya kilichopo katika makazi ya mishamo,kutokana Na kuwa zahanati Moja iliyopo katika kata hiyo haikidhi huduma muhimu za matibabu.

Pia wakazi wa vijiji hivyo wamekuwa wakikosa huduma muhimu za matangazo ya Radio kutokana na Kuwa Mawimbi ya Radio hayafiki huko.
 
Shule ya msingi Ilangu. Iliyopo katika kata ya Ilangu wilayani Tanganyika inakabiliwa na upungufu wa walimu pamoja na vyumba vya madarasa.

Siyajali Odasi ambae ni Makamu Mwenyekiti wa kijiji hicho amesema kuwa shule hiyo yenye wanafunzi zaidi ya mia tisa (900) iliyopo kijijini kwake ina walimu sita (6) tu,Pamoja na vyumba tisa(9) vya madarasa.

Pamoja na hayo katika kata hiyo kumekuwa na shida kubwa ya Maji kutokana na ukosefu wa visima vya maji kwani vilivyopo ni vichache kulinganisha na idadi ya wakazi wa kijijini hapo na pia vipo mbalimbali na hivyo basi hulazimika kutumia maji ya mito ambayo sio Salama kwa afya maana huchangia maji hayo pamoja na mifugo na hata msimu wa kiangazi maji hayo ya Mito hukauka
Noma sana hii SEMA huko nako ushirikina sana watumishi huishia kulazwa nje uchi

USSR
 
Shule ya msingi Ilangu. Iliyopo katika kata ya Ilangu wilayani Tanganyika inakabiliwa na upungufu wa walimu pamoja na vyumba vya madarasa.

Siyajali Odasi ambae ni Makamu Mwenyekiti wa kijiji hicho amesema kuwa shule hiyo yenye wanafunzi zaidi ya mia tisa (900) iliyopo kijijini kwake ina walimu sita (6) tu,Pamoja na vyumba tisa(9) vya madarasa.

Pamoja na hayo katika kata hiyo kumekuwa na shida kubwa ya Maji kutokana na ukosefu wa visima vya maji kwani vilivyopo ni vichache kulinganisha na idadi ya wakazi wa kijijini hapo na pia vipo mbalimbali na hivyo basi hulazimika kutumia maji ya mito ambayo sio Salama kwa afya maana huchangia maji hayo pamoja na mifugo na hata msimu wa kiangazi maji hayo ya Mito hukauka.

Wakazi wa vijiji katika kata hiyo kulazimika kusafiri umbali wa kilomita 30 kufuata kituo cha afya kilichopo katika makazi ya mishamo,kutokana Na kuwa zahanati Moja iliyopo katika kata hiyo haikidhi huduma muhimu za matibabu.

Pia wakazi wa vijiji hivyo wamekuwa wakikosa huduma muhimu za matangazo ya Radio kutokana na Kuwa Mawimbi ya Radio hayafiki huko.
Walimu 6 wote hao!
 
Shule ya msingi Ilangu. Iliyopo katika kata ya Ilangu wilayani Tanganyika inakabiliwa na upungufu wa walimu pamoja na vyumba vya madarasa.

Siyajali Odasi ambae ni Makamu Mwenyekiti wa kijiji hicho amesema kuwa shule hiyo yenye wanafunzi zaidi ya mia tisa (900) iliyopo kijijini kwake ina walimu sita (6) tu,Pamoja na vyumba tisa(9) vya madarasa.

Pamoja na hayo katika kata hiyo kumekuwa na shida kubwa ya Maji kutokana na ukosefu wa visima vya maji kwani vilivyopo ni vichache kulinganisha na idadi ya wakazi wa kijijini hapo na pia vipo mbalimbali na hivyo basi hulazimika kutumia maji ya mito ambayo sio Salama kwa afya maana huchangia maji hayo pamoja na mifugo na hata msimu wa kiangazi maji hayo ya Mito hukauka.

Wakazi wa vijiji katika kata hiyo kulazimika kusafiri umbali wa kilomita 30 kufuata kituo cha afya kilichopo katika makazi ya mishamo,kutokana Na kuwa zahanati Moja iliyopo katika kata hiyo haikidhi huduma muhimu za matibabu.

Pia wakazi wa vijiji hivyo wamekuwa wakikosa huduma muhimu za matangazo ya Radio kutokana na Kuwa Mawimbi ya Radio hayafiki huko.
Sita mbona wengi Sana hao.
 
Noma sana hii SEMA huko nako ushirikina sana watumishi huishia kulazwa nje uchi

USSR
Kwa Kifupu ILANGU ipo kwenye Eneo la MISHAMO ambayo yalikuwa makazi ya WAKIMBIZI TOKA BURUNDI MWAKA 1972, na mwaka 2014 RAIS KIKWETE Chini ya WAZIRI KIJANA LAWRENCE MASHA walivunja Rekodi ya DUNIA kwa kuwapa Uraia HAO WAKIMBIZI KARBIA LAKI TATU (300,000) ambao walikuwa kwenye MAKAMBI YA MISHAMO, KATUMBA NA ULYANKULU TABORA. So hao wakimbizi kwa sasa ni RAIA WA TANZANIA. MCHONGO huu ni baada ya Masha na UNHCR kupeana Vinono, wajuvi wanadai Masha amejengewa HOSTELS huko MWANZA na Madorali Kibao ili UNHCR wajivue Msalaba wa kuwatunza hao wakimbizi badala yake sasa serikali inalaumiwa kwa huu Upuuzi wa kijana Mhuni mhuni. Kumbuka kabla ya kupewa Uraia UNHCR ilikuwa inawajibika kwao kwa kila Nyanja yaaani huduma zote zilikuwa zinatolewa na UNHCR freeeely.
SASA HAO JAMAA WAKIMBIZI WAHUTU RAIA wanaMkakati gani!
Malengo yao kwa sasa,
1. KILA MWANAUME awaoe wake wengi na AZAE WATOTO ZAIDI ya 10 yaani Mtoto wa Kumi ataitwa BUCHUMI kwa kila mwanamke atakayeo, lengo ni kuhakikisha wanapata population ya kutosha ndani ya Tanzania.
2. WANAWAKE HAKUNA KUFUNGA UZAZI NI KUFYATUA TU MPAKA WAISHE.
3. Kubadilisha majina na kuhamia maeneo mbalimbali ya Tanzania ili kuepuka siku moja kufutiwa uraia na kurudishwa Burundi.
4. Kuhonga Maeneo Nyeti ili Vijana wao washike Nyadhifa muhimu na Mihimili ya Nchi ya tanzania ili siku moja wawe na kiongozi Mkuu wa Nchi, hii kwa sasa inasaidia kuwapa taarifa muhimu ni kipi serikali inapanga dhidi yao. Na wapo sana tu serikalini ukiwagusa unatoka wewe au unapotezwa fasta.
5. Wananunua Maeneo ya ardhi kwa wingi na Ukubwa Stahiki.
6. Wananunua Biashara/ Maduka ya WAHUTU WENZAO TU na hapo KIJIJIN kwao ukiweka biashara wewe Mtanzania usiwe MHUTU huuuuuizi.
7. Ukiwapeleleza Lazima Uuliwe tu, Mtendaji wa Kata katumba alikatwa Vinyama nyama ka mishikaki.
8. Wanakusanya Utajiri kwa njia Haramu balaaa, Ndio Majangiri wa kuogopwa! Ule Ujambazi wa Ubungo mataaa wa Kutisha kuiba fedha ya NMB mliuona pale Wahutu walihusika, Mabasi kutekwa ni wahutu nk nk. Jiulize Katavi national park ni ya Pili kwa Ukubwa Tanzania lkn wanyama hakuna wanaenda wapi????
Anyway ngoja niache.

tupunguze kuwalaumu Wahutu zaidi waulizwe KIKWETE na MASHA walipewa nini na UNHCR
Lkn pia huko hata mkijenga Shule 10 na walimu 1000 hamtaweza mkakati wa hao viumbe. Kubalini kataeni Mzee wa Msoga uichemka kwenye hili.
 
Mbona tuliambiwa pesa za uviko zimemaliza changamoto za madarasa.

Adui wa taifa ili ni ccm
 
Ombeni hata mpewe mmoja maana kwa idadi ya zilizotangazwa hata wakigawa mmoja mmoja Kila shule bado zipo zitakazokosa maana Kila shule inaupungufu na shule ni nyingi kuliko ajira zenyewe
 
Shule ya msingi Ilangu. Iliyopo katika kata ya Ilangu wilayani Tanganyika inakabiliwa na upungufu wa walimu pamoja na vyumba vya madarasa.

Siyajali Odasi ambae ni Makamu Mwenyekiti wa kijiji hicho amesema kuwa shule hiyo yenye wanafunzi zaidi ya mia tisa (900) iliyopo kijijini kwake ina walimu sita (6) tu,Pamoja na vyumba tisa(9) vya madarasa.

Pamoja na hayo katika kata hiyo kumekuwa na shida kubwa ya Maji kutokana na ukosefu wa visima vya maji kwani vilivyopo ni vichache kulinganisha na idadi ya wakazi wa kijijini hapo na pia vipo mbalimbali na hivyo basi hulazimika kutumia maji ya mito ambayo sio Salama kwa afya maana huchangia maji hayo pamoja na mifugo na hata msimu wa kiangazi maji hayo ya Mito hukauka.

Wakazi wa vijiji katika kata hiyo kulazimika kusafiri umbali wa kilomita 30 kufuata kituo cha afya kilichopo katika makazi ya mishamo,kutokana Na kuwa zahanati Moja iliyopo katika kata hiyo haikidhi huduma muhimu za matibabu.

Pia wakazi wa vijiji hivyo wamekuwa wakikosa huduma muhimu za matangazo ya Radio kutokana na Kuwa Mawimbi ya Radio hayafiki huko.
  1. Mwalimu Mkuu analizungumziaje hilo
  2. DED analizungumziaje hilo
  3. DC analizungumziaje hilo
  4. RC naye analizungumziaje hilo
  5. Mbunge naye anasemaje
  6. Mzee Pinda PM mstaafu anasemaje juu ya hilo
  7. Mawaziri wote wawili MOE na PLGRA wanasemaje
 
Kwa Kifupu ILANGU ipo kwenye Eneo la MISHAMO ambayo yalikuwa makazi ya WAKIMBIZI TOKA BURUNDI MWAKA 1972, na mwaka 2014 RAIS KIKWETE Chini ya WAZIRI KIJANA LAWRENCE MASHA walivunja Rekodi ya DUNIA kwa kuwapa Uraia HAO WAKIMBIZI KARBIA LAKI TATU (300,000) ambao walikuwa kwenye MAKAMBI YA MISHAMO, KATUMBA NA ULYANKULU TABORA. So hao wakimbizi kwa sasa ni RAIA WA TANZANIA. MCHONGO huu ni baada ya Masha na UNHCR kupeana Vinono, wajuvi wanadai Masha amejengewa HOSTELS huko MWANZA na Madorali Kibao ili UNHCR wajivue Msalaba wa kuwatunza hao wakimbizi badala yake sasa serikali inalaumiwa kwa huu Upuuzi wa kijana Mhuni mhuni. Kumbuka kabla ya kupewa Uraia UNHCR ilikuwa inawajibika kwao kwa kila Nyanja yaaani huduma zote zilikuwa zinatolewa na UNHCR freeeely.
SASA HAO JAMAA WAKIMBIZI WAHUTU RAIA wanaMkakati gani!
Malengo yao kwa sasa,
1. KILA MWANAUME awaoe wake wengi na AZAE WATOTO ZAIDI ya 10 yaani Mtoto wa Kumi ataitwa BUCHUMI kwa kila mwanamke atakayeo, lengo ni kuhakikisha wanapata population ya kutosha ndani ya Tanzania.
2. WANAWAKE HAKUNA KUFUNGA UZAZI NI KUFYATUA TU MPAKA WAISHE.
3. Kubadilisha majina na kuhamia maeneo mbalimbali ya Tanzania ili kuepuka siku moja kufutiwa uraia na kurudishwa Burundi.
4. Kuhonga Maeneo Nyeti ili Vijana wao washike Nyadhifa muhimu na Mihimili ya Nchi ya tanzania ili siku moja wawe na kiongozi Mkuu wa Nchi, hii kwa sasa inasaidia kuwapa taarifa muhimu ni kipi serikali inapanga dhidi yao. Na wapo sana tu serikalini ukiwagusa unatoka wewe au unapotezwa fasta.
5. Wananunua Maeneo ya ardhi kwa wingi na Ukubwa Stahiki.
6. Wananunua Biashara/ Maduka ya WAHUTU WENZAO TU na hapo KIJIJIN kwao ukiweka biashara wewe Mtanzania usiwe MHUTU huuuuuizi.
7. Ukiwapeleleza Lazima Uuliwe tu, Mtendaji wa Kata katumba alikatwa Vinyama nyama ka mishikaki.
8. Wanakusanya Utajiri kwa njia Haramu balaaa, Ndio Majangiri wa kuogopwa! Ule Ujambazi wa Ubungo mataaa wa Kutisha kuiba fedha ya NMB mliuona pale Wahutu walihusika, Mabasi kutekwa ni wahutu nk nk. Jiulize Katavi national park ni ya Pili kwa Ukubwa Tanzania lkn wanyama hakuna wanaenda wapi????
Anyway ngoja niache.

tupunguze kuwalaumu Wahutu zaidi waulizwe KIKWETE na MASHA walipewa nini na UNHCR
Lkn pia huko hata mkijenga Shule 10 na walimu 1000 hamtaweza mkakati wa hao viumbe. Kubalini kataeni Mzee wa Msoga uichemka kwenye hili.
Wewe ni mpumbavu
 
Wewe ni mpumbavu
Wewe Una Matatizo ya Akili au Una Msongo mkubwa wa Mawazo nenda kawaone wataalam haraka, tangu April Mosi hadi sasa umetukana members Hapa JF zaidi ya matusi 10 ya Nguoni, pia Umemtusi Muumba wetu lkn pia kwa Post zako ni Mhamiaji Haramu. Wewe Unajiita MUHA kumbe ni wale wale anyway endelea niache na upumbavu wangu wewe endelea na welevu wako ipo siku utapata tiba yako.
 
Wewe Una Matatizo ya Akili au Una Msongo mkubwa wa Mawazo nenda kawaone wataalam haraka, tangu April Mosi hadi sasa umetukana members Hapa JF zaidi ya matusi 10 ya Nguoni, pia Umemtusi Muumba wetu lkn pia kwa Post zako ni Mhamiaji Haramu. Wewe Unajiita MUHA kumbe ni wale wale anyway endelea niache na upumbavu wangu wewe endelea na welevu wako ipo siku utapata tiba yako.
Kafie kwenu!! Na huna la kunifanya mbweha ww
 
Si ndo alitupwa yule Yuda wa chadema akaww mkuu wa wilaya wachawi
 
Kwa Kifupu ILANGU ipo kwenye Eneo la MISHAMO ambayo yalikuwa makazi ya WAKIMBIZI TOKA BURUNDI MWAKA 1972, na mwaka 2014 RAIS KIKWETE Chini ya WAZIRI KIJANA LAWRENCE MASHA walivunja Rekodi ya DUNIA kwa kuwapa Uraia HAO WAKIMBIZI KARBIA LAKI TATU (300,000) ambao walikuwa kwenye MAKAMBI YA MISHAMO, KATUMBA NA ULYANKULU TABORA. So hao wakimbizi kwa sasa ni RAIA WA TANZANIA. MCHONGO huu ni baada ya Masha na UNHCR kupeana Vinono, wajuvi wanadai Masha amejengewa HOSTELS huko MWANZA na Madorali Kibao ili UNHCR wajivue Msalaba wa kuwatunza hao wakimbizi badala yake sasa serikali inalaumiwa kwa huu Upuuzi wa kijana Mhuni mhuni. Kumbuka kabla ya kupewa Uraia UNHCR ilikuwa inawajibika kwao kwa kila Nyanja yaaani huduma zote zilikuwa zinatolewa na UNHCR freeeely.
SASA HAO JAMAA WAKIMBIZI WAHUTU RAIA wanaMkakati gani!
Malengo yao kwa sasa,
1. KILA MWANAUME awaoe wake wengi na AZAE WATOTO ZAIDI ya 10 yaani Mtoto wa Kumi ataitwa BUCHUMI kwa kila mwanamke atakayeo, lengo ni kuhakikisha wanapata population ya kutosha ndani ya Tanzania.
2. WANAWAKE HAKUNA KUFUNGA UZAZI NI KUFYATUA TU MPAKA WAISHE.
3. Kubadilisha majina na kuhamia maeneo mbalimbali ya Tanzania ili kuepuka siku moja kufutiwa uraia na kurudishwa Burundi.
4. Kuhonga Maeneo Nyeti ili Vijana wao washike Nyadhifa muhimu na Mihimili ya Nchi ya tanzania ili siku moja wawe na kiongozi Mkuu wa Nchi, hii kwa sasa inasaidia kuwapa taarifa muhimu ni kipi serikali inapanga dhidi yao. Na wapo sana tu serikalini ukiwagusa unatoka wewe au unapotezwa fasta.
5. Wananunua Maeneo ya ardhi kwa wingi na Ukubwa Stahiki.
6. Wananunua Biashara/ Maduka ya WAHUTU WENZAO TU na hapo KIJIJIN kwao ukiweka biashara wewe Mtanzania usiwe MHUTU huuuuuizi.
7. Ukiwapeleleza Lazima Uuliwe tu, Mtendaji wa Kata katumba alikatwa Vinyama nyama ka mishikaki.
8. Wanakusanya Utajiri kwa njia Haramu balaaa, Ndio Majangiri wa kuogopwa! Ule Ujambazi wa Ubungo mataaa wa Kutisha kuiba fedha ya NMB mliuona pale Wahutu walihusika, Mabasi kutekwa ni wahutu nk nk. Jiulize Katavi national park ni ya Pili kwa Ukubwa Tanzania lkn wanyama hakuna wanaenda wapi????
Anyway ngoja niache.

tupunguze kuwalaumu Wahutu zaidi waulizwe KIKWETE na MASHA walipewa nini na UNHCR
Lkn pia huko hata mkijenga Shule 10 na walimu 1000 hamtaweza mkakati wa hao viumbe. Kubalini kataeni Mzee wa Msoga uichemka kwenye hili.
Tanzania yetu hii. Umesema ukweli kabisa. Hii habari nilisikia kitambo nikaipuuzia.


Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kuna ukweli kwa asilimia nyingi.
Pia kuna kabila flani kubwa la kanda ya ziwa linatumia mbinu waazotumia hao jamaa ili kupata mafanikio kama ya hao wahamiaji
Kwa Kifupu ILANGU ipo kwenye Eneo la MISHAMO ambayo yalikuwa makazi ya WAKIMBIZI TOKA BURUNDI MWAKA 1972, na mwaka 2014 RAIS KIKWETE Chini ya WAZIRI KIJANA LAWRENCE MASHA walivunja Rekodi ya DUNIA kwa kuwapa Uraia HAO WAKIMBIZI KARBIA LAKI TATU (300,000) ambao walikuwa kwenye MAKAMBI YA MISHAMO, KATUMBA NA ULYANKULU TABORA. So hao wakimbizi kwa sasa ni RAIA WA TANZANIA. MCHONGO huu ni baada ya Masha na UNHCR kupeana Vinono, wajuvi wanadai Masha amejengewa HOSTELS huko MWANZA na Madorali Kibao ili UNHCR wajivue Msalaba wa kuwatunza hao wakimbizi badala yake sasa serikali inalaumiwa kwa huu Upuuzi wa kijana Mhuni mhuni. Kumbuka kabla ya kupewa Uraia UNHCR ilikuwa inawajibika kwao kwa kila Nyanja yaaani huduma zote zilikuwa zinatolewa na UNHCR freeeely.
SASA HAO JAMAA WAKIMBIZI WAHUTU RAIA wanaMkakati gani!
Malengo yao kwa sasa,
1. KILA MWANAUME awaoe wake wengi na AZAE WATOTO ZAIDI ya 10 yaani Mtoto wa Kumi ataitwa BUCHUMI kwa kila mwanamke atakayeo, lengo ni kuhakikisha wanapata population ya kutosha ndani ya Tanzania.
2. WANAWAKE HAKUNA KUFUNGA UZAZI NI KUFYATUA TU MPAKA WAISHE.
3. Kubadilisha majina na kuhamia maeneo mbalimbali ya Tanzania ili kuepuka siku moja kufutiwa uraia na kurudishwa Burundi.
4. Kuhonga Maeneo Nyeti ili Vijana wao washike Nyadhifa muhimu na Mihimili ya Nchi ya tanzania ili siku moja wawe na kiongozi Mkuu wa Nchi, hii kwa sasa inasaidia kuwapa taarifa muhimu ni kipi serikali inapanga dhidi yao. Na wapo sana tu serikalini ukiwagusa unatoka wewe au unapotezwa fasta.
5. Wananunua Maeneo ya ardhi kwa wingi na Ukubwa Stahiki.
6. Wananunua Biashara/ Maduka ya WAHUTU WENZAO TU na hapo KIJIJIN kwao ukiweka biashara wewe Mtanzania usiwe MHUTU huuuuuizi.
7. Ukiwapeleleza Lazima Uuliwe tu, Mtendaji wa Kata katumba alikatwa Vinyama nyama ka mishikaki.
8. Wanakusanya Utajiri kwa njia Haramu balaaa, Ndio Majangiri wa kuogopwa! Ule Ujambazi wa Ubungo mataaa wa Kutisha kuiba fedha ya NMB mliuona pale Wahutu walihusika, Mabasi kutekwa ni wahutu nk nk. Jiulize Katavi national park ni ya Pili kwa Ukubwa Tanzania lkn wanyama hakuna wanaenda wapi????
Anyway ngoja niache.

tupunguze kuwalaumu Wahutu zaidi waulizwe KIKWETE na MASHA walipewa nini na UNHCR
Lkn pia huko hata mkijenga Shule 10 na walimu 1000 hamtaweza mkakati wa hao viumbe. Kubalini kataeni Mzee wa Msoga uichemka kwenye hili.
 
Mnataka ajira vp mkipangiwa huko mpo tayari??
 
Back
Top Bottom