Katazo Batili la Mikutano ya kisiasa liondolewe ili kurudisha nchi yetu kwenye mapambano ya hoja

Katazo Batili la Mikutano ya kisiasa liondolewe ili kurudisha nchi yetu kwenye mapambano ya hoja

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwalimu Nyerere aliwahi kunukuliwa miaka kadhaa iliyopita akitamka kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " hapa alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa unategemea na harakati za kisiasa za chama husika kwa kunadi sera zake hadharani kwa wananchi kwa kutumia maandamano na Majukwaa halali ya kisiasa , hii maana yake ni kupiga mikutano ya hadhara nchi nzima bila masharti kama ilivyokuwa awali .

Tukitaka kuirejesha nchi yetu heshima yake iliyopotea kwa miaka zaidi ya 6 ni lazima turudishe demokrasia ya vyama vingi kama ilivyoainishwa ndani ya katiba ya nchi , turuhusu wanaotaka kuanzisha vyama vingine vipya vya siasa waingie mabarabarani na majukwaani kusaka wanachama 200 kwenye mikoa iliyoainishwa bara na visiwani , hatuna haja ya kuogopa , hiyo ndio Demokrasia yenyewe .

Mzee Kikwete aliwahi kunukuliwa akitamka maneno haya hapa chini .

FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kunukuliwa miaka kadhaa iliyopita akitamka kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " hapa alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa unategemea na harakati za kisiasa za chama husika kwa kunadi sera zake hadharani kwa wananchi kwa kutumia maandamano na Majukwaa halali ya kisiasa , hii maana yake ni kupiga mikutano ya hadhara nchi nzima bila masharti kama ilivyokuwa awali .

Tukitaka kuirejesha nchi yetu heshima yake iliyopotea kwa miaka zaidi ya 6 ni lazima turudishe demokrasia ya vyama vingi kama ilivyoainishwa ndani ya katiba ya nchi

Mzee Kikwete aliwahi kunukuliwa akitamka maneno haya hapa chini .

View attachment 1745136
[emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
2.5458854403379287E18.jpg
 
Ukiniuliza Mimi nitasema hivi, siasa ziruhusiwe Ila zisiwe za majukwaani, majukwaani ni Hadi nyakati za uchaguzi

Hii ya majukwaani Kwa jinsi Dunia ilivyotutangulia miaka Elfu Mbele, tutapotezeana muda wa kupiga kazi

Siasa na Uhuru wa kuongea, uwepo Ila si mabarabarani na majukwaani

Tuchapeni kazi,
 
Ukiniuliza Mimi nitasema hivi, siasa ziruhusiwe Ila zisiwe za majukwaani, majukwaani ni Hadi nyakati za uchaguzi

Hii ya majukwaani Kwa jinsi Dunia ilivyotutangulia miaka Elfu Mbele, tutapotezeana muda wa kupiga kazi

Siasa na Uhuru wa kuongea, uwepo Ila si mabarabarani na majukwaani

Tuchapeni kazi,
Katiba si matakwa ya mtu binafsi , hiyo ndio msahafu wetu na imeruhusu mikutano ya hadhara
 
Kabisa tusitumimie maguvu tutumie akili kurudisha uhuru wa mikutano ya hadhara kama ilivyo kufungulia vyombo vya habari vilivyozuiliwa kwa mabavu, nguvu na dhuluma hatutaki mambo ya laana siye.

Hata Katiba Mpya kwa muktadha huu wa kutotumia mabavu na kuminya vyombo vya habari. Hivi yale mabillioni yaliyo tumika kwenye mchakato ule ni halali kuachwa makabrasha yake ya pigwe vumbi tu. Kama tuna uchungu wa miradi iliyo kwenye makaratasi. Huu si mmoja wa hiyo tena umetumia mabillioni.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kunukuliwa miaka kadhaa iliyopita akitamka kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " hapa alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa unategemea na harakati za kisiasa za chama husika kwa kunadi sera zake hadharani kwa wananchi kwa kutumia maandamano na Majukwaa halali ya kisiasa , hii maana yake ni kupiga mikutano ya hadhara nchi nzima bila masharti kama ilivyokuwa awali .

Tukitaka kuirejesha nchi yetu heshima yake iliyopotea kwa miaka zaidi ya 6 ni lazima turudishe demokrasia ya vyama vingi kama ilivyoainishwa ndani ya katiba ya nchi

Mzee Kikwete aliwahi kunukuliwa akitamka maneno haya hapa chini .

View attachment 1745136
Lisu anamabwana ubelgiji, Lema anamabwana Canada, Mbowe yuko Dubai.

Bavicha kutwa kusifia rais Samia, je hiyo mikutano ya siasa ya chadema nani ataiendesha?
 
Mikutano ya siasa ni ujinga mtupu. Kwanza imejaa fitna na uongo mwingi. Tunaweza kuambiwa kuwa waziri mkuu ni fisadi papa, lkn 2025 akinunua viongozi wa upinzani gia itabadilishwa fasta na kuitwa mkombozi wa watanzania kama ilivyotokea 2015
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kunukuliwa miaka kadhaa iliyopita akitamka kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " hapa alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa unategemea na harakati za kisiasa za chama husika kwa kunadi sera zake hadharani kwa wananchi kwa kutumia maandamano na Majukwaa halali ya kisiasa , hii maana yake ni kupiga mikutano ya hadhara nchi nzima bila masharti kama ilivyokuwa awali .

Tukitaka kuirejesha nchi yetu heshima yake iliyopotea kwa miaka zaidi ya 6 ni lazima turudishe demokrasia ya vyama vingi kama ilivyoainishwa ndani ya katiba ya nchi , turuhusu wanaotaka kuanzisha vyama vingine vipya vya siasa waingie mabarabarani na majukwaani kusaka wanachama 200 kwenye mikoa iliyoainishwa bara na visiwani , hatuna haja ya kuogopa , hiyo ndio Demokrasia yenyewe .

Mzee Kikwete aliwahi kunukuliwa akitamka maneno haya hapa chini .

View attachment 1745136
Yaani mnataka muanze kuwazomea Madiwani na Wabunge wetu hilo bado kidogo
 
Lile "katazo" kimsingi ni kama halipo. Diwani na Mbunge yupo free kabisa kufanya mkutano kwenye eneo analoliwakilisha. Ofcourse atapaswa kuandika barua na kuomba "kibali" kutoka kwa OCD/OCS wa eneo husika ili apewe ulinzi baada ya polisi kufanya intelijensia na kujiridhisha kwamba hakuna hatari.

Hakuna haja ya kusubiri tamko la Mama. Madiwani na Wabunge (baada ya vikao vya Bunge kumalizika) wao wafanye mchakato wa mikutano waone kama kuna mtu atawabugudhi.
 
Lile "katazo" kimsingi ni kama halipo. Diwani na Mbunge yupo free kabisa kufanya mkutano kwenye eneo analoliwakilisha. Ofcourse atapaswa kuandika barua na kuomba "kibali" kutoka kwa OCD/OCS wa eneo husika ili apewe ulinzi baada ya polisi kufanya intelijensia na kujiridhisha kwamba hakuna hatari.

Hakuna haja ya kusubiri tamko la Mama. Madiwani na Wabunge (baada ya vikao vya Bunge kumalizika) wao wafanye mchakato wa mikutano waone kama kuna mtu atawabugudhi.
Ccm watafanya hakuna shida, shida ipo kwenye vyama vingine....
Virungu vya Polisi na wale siafu FFU lazma vipate kazi siku hiyo, bora liondolewe kwa taarifa rasmi.
 
Ukiniuliza Mimi nitasema hivi, siasa ziruhusiwe Ila zisiwe za majukwaani, majukwaani ni Hadi nyakati za uchaguzi

Hii ya majukwaani Kwa jinsi Dunia ilivyotutangulia miaka Elfu Mbele, tutapotezeana muda wa kupiga kazi

Siasa na Uhuru wa kuongea, uwepo Ila si mabarabarani na majukwaani

Tuchapeni kazi,
Mbona Magufuli alipokuwepo hamkumwambia haya?
 
Ccm watafanya hakuna shida, shida ipo kwenye vyama vingine....
Virungu vya Polisi na wale siafu FFU lazma vipate kazi siku hiyo, bora liondolewe kwa taarifa rasmi.
As long as diwani/mbunge kaomba kibali na kupata go ahead, hakuna virungu

Polisi waliweka hilo takwa ili waweze kuprovide security bahati mbaya Magufuli nae akapita humohumo.
 
Back
Top Bottom