Katazo Batili la Mikutano ya kisiasa liondolewe ili kurudisha nchi yetu kwenye mapambano ya hoja

Katazo Batili la Mikutano ya kisiasa liondolewe ili kurudisha nchi yetu kwenye mapambano ya hoja

Mnataka muwapotezee watu muda wao wa kufanya kazi kwa kuwakusanya na kuwapigia porojo tu, ilhali nyie mnalipwa wao wakiambulia patupu.
 
Lile "katazo" kimsingi ni kama halipo. Diwani na Mbunge yupo free kabisa kufanya mkutano kwenye eneo analoliwakilisha. Ofcourse atapaswa kuandika barua na kuomba "kibali" kutoka kwa OCD/OCS wa eneo husika ili apewe ulinzi baada ya polisi kufanya intelijensia na kujiridhisha kwamba hakuna hatari.

Hakuna haja ya kusubiri tamko la Mama. Madiwani na Wabunge (baada ya vikao vya Bunge kumalizika) wao wafanye mchakato wa mikutano waone kama kuna mtu atawabugudhi.
Wale wanaotaka kuanzisha vyama vipya unataka wafanyeje ?
 
Mnataka muwapotezee watu muda wao wa kufanya kazi kwa kuwakusanya na kuwapigia porojo tu, ilhali nyie mnalipwa wao wakiambulia patupu.
Hakuna anayelazimishwa wala hakuna atakayesombwa na lori
 
Mama keshasema anafuata utawala wa Katiba na Sheria na Hilo liko wazi

Ni sisi tujipange na kuanza kupiga Siasa Mnyika apange Majukwaa tuanze kuongelea mustakbali wa Nchi yetu na tutoe Pongezi nyingi kwa kuapishwa kwa Raisi mpya Bi Samia Suluhu Hassan
 
Wale wanaotaka kuanzisha vyama vipya unataka wafanyeje ?
Kwani liliwekwa katazo la kuanzisha vyama vipya?

Lakini personally sioni kama kuna haja ya mtu au kikundi kuanzicha chama kipya kabisa cha siasa. CHADEMA, CUF na vile vingine vya kwenye briefcase vinatosha unless ofcourse hilo kundi jipya lengo ni kupiga hela na sio kuja kuleta upinzani wenye tija
 
Ukiniuliza Mimi nitasema hivi, siasa ziruhusiwe Ila zisiwe za majukwaani, majukwaani ni Hadi nyakati za uchaguzi

Hii ya majukwaani Kwa jinsi Dunia ilivyotutangulia miaka Elfu Mbele, tutapotezeana muda wa kupiga kazi

Siasa na Uhuru wa kuongea, uwepo Ila si mabarabarani na majukwaani

Tuchapeni kazi,
Umepigwa ganzi na mwendazake wewe. Subiri sasa uone demokrasia halisi inakuja. Demokrasia halisi ya kikatiba haijaweka hayo unayoandika. Mikutamo ya siasa ni sehemu ya demokrasia katika katiba. Mmedanganywa hadi ubongo umegoma kufikiri. Tulieni sasa nchi iendeshwe kidemokrasia.
 
Kwani liliwekwa katazo la kuanzisha vyama vipya?

Lakini personally sioni kama kuna haja ya mtu au kikundi kuanzicha chama kipya kabisa cha siasa. CHADEMA, CUF na vile vingine vya kwenye briefcase vinatosha unless ofcourse hilo kundi jipya lengo ni kupiga hela na sio kuja kuleta upinzani wenye tija
Huo udikteta wako haumo kwenye katiba
 
Ukiniuliza Mimi nitasema hivi, siasa ziruhusiwe Ila zisiwe za majukwaani, majukwaani ni Hadi nyakati za uchaguzi

Hii ya majukwaani Kwa jinsi Dunia ilivyotutangulia miaka Elfu Mbele, tutapotezeana muda wa kupiga kazi

Siasa na Uhuru wa kuongea, uwepo Ila si mabarabarani na majukwaani

Tuchapeni kazi,
Naunga mkono hoja. Tena ikiwezekana kama rais aliyepo madarakani anafanya vizuri vyama vyote vimuunge mkono ili tuharakishe kufika nchi ya Kanaani.
 
Lile "katazo" kimsingi ni kama halipo. Diwani na Mbunge yupo free kabisa kufanya mkutano kwenye eneo analoliwakilisha. Ofcourse atapaswa kuandika barua na kuomba "kibali" kutoka kwa OCD/OCS wa eneo husika ili apewe ulinzi baada ya polisi kufanya intelijensia na kujiridhisha kwamba hakuna hatari.

Hakuna haja ya kusubiri tamko la Mama. Madiwani na Wabunge (baada ya vikao vya Bunge kumalizika) wao wafanye mchakato wa mikutano waone kama kuna mtu atawabugudhi.
Intelijensia!!!!!!!!!
 
As long as diwani/mbunge kaomba kibali na kupata go ahead, hakuna virungu

Polisi waliweka hilo takwa ili waweze kuprovide security bahati mbaya Magufuli nae akapita humohumo.
Badirika tu mkuu. Usisubiri mama aseme, utakua umechelewa.
 
Ukiniuliza Mimi nitasema hivi, siasa ziruhusiwe Ila zisiwe za majukwaani, majukwaani ni Hadi nyakati za uchaguzi

Hii ya majukwaani Kwa jinsi Dunia ilivyotutangulia miaka Elfu Mbele, tutapotezeana muda wa kupiga kazi

Siasa na Uhuru wa kuongea, uwepo Ila si mabarabarani na majukwaani

Tuchapeni kazi,
Ila wewe upo kila mahali unapotaka.
 
Lisu anamabwana ubelgiji, Lema anamabwana Canada, Mbowe yuko Dubai.

Bavicha kutwa kusifia rais Samia, je hiyo mikutano ya siasaya chadema nani ataiendesha?
Na wewe hapo Lumumba nani anakufokoa,maana swala la wewe kuwa shoga mwandamizi liko wazi,tueleze tu kwa sasa nani anakupuliza?
 
Back
Top Bottom