Duuhh ConsultantKwani liliwekwa katazo la kuanzisha vyama vipya?
Lakini personally sioni kama kuna haja ya mtu au kikundi kuanzicha chama kipya kabisa cha siasa. CHADEMA, CUF na vile vingine vya kwenye briefcase vinatosha unless ofcourse hilo kundi jipya lengo ni kupiga hela na sio kuja kuleta upinzani wenye tija
Tulimshtakia kwa Mungu na majibu yake ndiyo kama mlivyosikiaMbona Magufuli alipokuwepo hamkumwambia haya?
Ndicho nilichosema. Hii tabia ya kuombaomba kila kitu na kusubiri mtu aseme ndo upate haki yako sio sawaBadirika tu mkuu. Usisubiri mama aseme, utakua umechelewa.
Tulia hivyo hivyo.It was my personal view. Nothing to do with KATIBA.
Harafu hakuna aliyezuiliwa kuanzisha chama kipya cha siasa kama ametimiza vigezo na masharti. Mkitaka mnaweza kuwa na vyama 200
Tunafuata matakwa ya Katiba.Mikutano hapana, Hilo mama hajasema. Subirini 2025
Tajiri, na siku nyingine wakitokea watu wanaowaacha mfanye mpendayo bila kuvunja sheria msiwaite tena “Dhaifu “.Katiba si matakwa ya mtu binafsi , hiyo ndio msahafu wetu na imeruhusu mikutano ya hadhara
Wewe unaonekana uko vizuri upstairs, waeleze hao waliokua wanafuata kila kitu cha "CCM" (Mwendazake)Make sense...
Wakuu wa polisi waliona sawa kuwazuia wapinzani... Am CCM na sikuipenda hiyo
Nimekuelewa mkuu. Nadhani tulikua pabaya kidemokrasia, sasa tuungane tujenge nchi yetu.Ndicho nilichosema. Hii tabia ya kuombaomba kila kitu na kusubiri mtu aseme ndo upate haki yako sio sawa
Mwenye kutaka kufanya mkutano yeye afuate taratibu tu na kwa sasa hakuna mtu ataweka kiwingu. Hakuna haja ya kumsubiri Mama kutengua kauli iliyotolewa jukwaani. Huenda hata hakumbuki kitu hicho
Cha kuomba mama atoe tamko na amri ni hii haja ya kutumia VPN kwenye kuaccess baadhi ya social media
Polepole/Channel Ten ndio wasema kweli, wapenzi wa 'mungu'Mikutano ya siasa ni ujinga mtupu. Kwanza imejaa fitna na uongo mwingi. Tunaweza kuambiwa kuwa waziri mkuu ni fisadi papa, lkn 2025 akinunua viongozi wa upinzani gia itabadilishwa fasta na kuitwa mkombozi wa watanzania kama ilivyotokea 2015
Umeniita ninavyopaswa kuitwa , na ukiona mtu kabaki na utajiri wake hadi kipindi hiki ujue huyo ni mwambaTajiri, na siku nyingine wakitokea watu wanaowaacha mfanye mpendayo bila kuvunja sheria msiwaite tena “Dhaifu “.
Wewe ni nani ?Akuna mikutano.muacheni mama achape kazi.mnataka muanze kuhamasisha migomo na maandamano ya kipuuzi kwenye majukwaa ya mikutano.
Mmeanza kunyooka , Tutaelewana tuMake sense...
Wakuu wa polisi waliona sawa kuwazuia wapinzani... Am CCM na sikuipenda hiyo
Mwalimu Nyerere aliwahi kunukuliwa miaka kadhaa iliyopita akitamka kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " hapa alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa unategemea na harakati za kisiasa za chama husika kwa kunadi sera zake hadharani kwa wananchi kwa kutumia maandamano na Majukwaa halali ya kisiasa , hii maana yake ni kupiga mikutano ya hadhara nchi nzima bila masharti kama ilivyokuwa awali .
Tukitaka kuirejesha nchi yetu heshima yake iliyopotea kwa miaka zaidi ya 6 ni lazima turudishe demokrasia ya vyama vingi kama ilivyoainishwa ndani ya katiba ya nchi , turuhusu wanaotaka kuanzisha vyama vingine vipya vya siasa waingie mabarabarani na majukwaani kusaka wanachama 200 kwenye mikoa iliyoainishwa bara na visiwani , hatuna haja ya kuogopa , hiyo ndio Demokrasia yenyewe .
Mzee Kikwete aliwahi kunukuliwa akitamka maneno haya hapa chini .
View attachment 1745136
😀😀Umeniita ninavyopaswa kuitwa , na ukiona mtu kabaki na utajiri wake hadi kipindi hiki ujue huyo ni mwamba
Mmeanza kunyooka , Tutaelewana tu
Tulimshtakia kwa Mungu na majibu yake ndiyo kama mlivyosikia
Kwa vile hakukuwa na tamko rasmi kisheria kupiga marufuku shughuli halali za vyama vya siasa, ni wajibu wa vyama hivyo kuanza shughuli hizo bila kusubiri "ruksa rasmi."Mwalimu Nyerere aliwahi kunukuliwa miaka kadhaa iliyopita akitamka kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " hapa alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa unategemea na harakati za kisiasa za chama husika kwa kunadi sera zake hadharani kwa wananchi kwa kutumia maandamano na Majukwaa halali ya kisiasa , hii maana yake ni kupiga mikutano ya hadhara nchi nzima bila masharti kama ilivyokuwa awali .
Tukitaka kuirejesha nchi yetu heshima yake iliyopotea kwa miaka zaidi ya 6 ni lazima turudishe demokrasia ya vyama vingi kama ilivyoainishwa ndani ya katiba ya nchi , turuhusu wanaotaka kuanzisha vyama vingine vipya vya siasa waingie mabarabarani na majukwaani kusaka wanachama 200 kwenye mikoa iliyoainishwa bara na visiwani , hatuna haja ya kuogopa , hiyo ndio Demokrasia yenyewe .
Mzee Kikwete aliwahi kunukuliwa akitamka maneno haya hapa chini .
View attachment 1745136
Mkuu Kwa sasa ACT ni sehemu ya watawalaKwa vile hakukuwa na tamko rasmi kisheria kupiga marufuku shughuli halali za vyama vya siasa, ni wajibu wa vyama hivyo kuanza shughuli hizo bila kusubiri "ruksa rasmi."
ACT-Wazalendo sio tu wametangaza kushiriki uchaguzi mdogo jimbo la Muhambwe bali pia mgombea wao hajazuiliwa kuchukua fomu, na hata pingamizi alilowekewa na mgombea wa CCM limetupwa. View attachment 1745427View attachment 1745428