KERO Katazo la bodaboda Chuo cha Mkwawa linatulazimu wafanyakazi kushuka getini na kutembea umbali mrefu hadi ofisini

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Wafanyakazi wa Chuo Cha Mkwawa tunapitia Changamoto kubwa ya usafiri wakati wa kwenda na kurudi kazini.

Uongozi wa Chuo umeweka Katazo la Pikipiki (Bodaboda), Ikiwa mfanyakazi anakuja na Pikipiki asubuhi inamlazimu ashuke njiani, Mwanzoni mwa Geti then atembe zaidi ya Kilomita 1, kwenda Ofisini,
Jambo hili ni kero Kwa wafanyakazi.

Lengo la Katazo hili siyo zuri Kwa ustawi wa Taasisi, badala ya kusonga mbele inarudisha nyuma maendeleo.
Tunaomba Uongozi uliangalie vizuri.
 
Fanya mazoezi acha uvivu
 
Kilometa moja mbona ya kawaida mkuu, hii itawasaidia kwa mazoezi
 
Yaani kutembea kilometer moja unaona kero tena ushukuru sana uongozi wa chuo
 
Maendeleo ni kutokutembea km 1 au ni kupanda boda boda?
 
Kwani chuo hakikusema sababu za kufanya hivyo, tujadili sababu na sio natokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…