Elections 2010 Kate Kamba ni nani hasa na anasimamia nini?

Mpaka anaomba uspika alikuwa mbunge wa bunge la Africa mashariki, Huyu maza ni wazamani kinoma. Hatakuwa na jipya zaidi ya kulinda system iliyomlea. Ni miongoni mwa wale watu wanaoogopa na kuyakataa mabadiliko kwa kifupi ni kimeo kingine
 
Anna Abdallah, nilimsikia tangu akiwa mkuu wa mkoa mwanza kama sikosei. Hapo nilikuwa vidudu na sasa niko kwenye 40s lakini bado tu yupo kwenye siasa. Hivi si nasikia ni mke wa Makamu wa Mwenyekiti wa chama?? Kuuliza siyo ujinga!!!!
Nilimsikia miaka ya 70 akiwa mkuu wa chuo cha Buhale pale Musoma. Kisha Kawawa(marehemu) kama kawaida kaonja na kumpa u Dc pale Magu.......... wacha nisivunje ndoa ya mzee Msekwa:nono:
 
Hivi hawa CCM imekosa watu kwenye nafasi ya Speaker? Nina hasira na utawala wetu wa kidhalimu!
 
Hivi hawa CCM imekosa watu kwenye nafasi ya Speaker? Nina hasira na utawala wetu wa kidhalimu!

Hasira haitasaidia, cha msingi ni kuanzisha harakati, hata kama wakitaka kuiba kama raia watakuwa wameelimishwa vya kutosha na wakajua ubaya wa serikali iliyoko madarakani wataikataa kupitia sanduku la kura na wakiiba itakuwa rahisi kuanzisha maandamano nchi nzima ili kushinikiza uchaguzi wa huru
 

University of Dar es Salaam - Directorate Of Internationalization, Convocation & Advancement [University of Dar es Salaam - Directorate Of Internationalization, Convocation & Advancement] is good,have a look at it!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…