Captain Phillip
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 894
- 538
Nazani ni celebrity piaTunaomba cv yake ili tuungane na wafiwa kuomboleza!!!
Tunaomba cv yake ili tuungane na wafiwa kuomboleza!!!
RIP . Umefika wakati sasa hiyo kazi ya PR hapo Barclays apatiwe mtanzania na sio mkenya wala mzimbabwe kwani tunahitaji ajira kwa watanzania.
Yule nguli wa mambo ya Corporate relations tulifanya naye Kazi Tanga Cement then akaenda Barclays ametutoka usiku wa kuamkia leo.
RIP Kati you have gone to soon
Inawezeka ndiye huyu hapa R.I.P. mdada
Bw.Msemakweli Dada Kati anazikwa lini?