CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,634
- 1,001
Kuna maziwa ya Unga yanasindikwa Uganda. Nadhani ni namba mbili kama sio moja. Ila Nido ni namba 1.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaNido yapo ya aina mbili, Kuna Nido ya dukani kwenye makopo na kuna Nido ya kwenye kifua cha binadamu...
Cc: Mahondaw
AlmudhishNaomba kujua kwa undani maana naona bei ya Nido imechangamka kuliko Almudhish, je utofauti wake ni upi?
Hakuna maziwa ya unga. Kama yapo ni mnyama Gani anae kamuliwa unga wa maziwa?Kunywa maziwa ya ng'ombe mzee baba...
Achana na hayo madude wanayoongezea melamine
Skim milk 91% ni water,katika process ya kuyabadili kua powder,maji hayo huondolewa by boiling the milk,evaporation system,Hakuna maziwa ya unga. Kama yapo ni mnyama Gani anae kamuliwa unga wa maziwa?
Nisaidie kuwa uliza Hilo swali
Najua process yote. Bahati mbaya sana haiwezi kunibadirisha kabisa.Skim milk 91% ni water,katika process ya kuyabadili kua powder,maji hayo huondolewa by boiling the milk,evaporation system,
Nimeelezea kwa ufupi sana ila ndio process ya kuyabadili maziwa from Liquid to Powder.
kwahiyo tusile ugali kwakua hakuna muhindi unaozaa ungaHakuna maziwa ya unga. Kama yapo ni mnyama Gani anae kamuliwa unga wa maziwa?
Nisaidie kuwa uliza Hilo swali
hujui kitu nduguNajua process yote. Bahati mbaya sana haiwezi kunibadirisha kabisa.
Kitu kikishaingia maabara tu Tyr hakuna uhalisia Tena kimekuwa modified!
Wapo wanaotoka mpaka lita kumihao wanaotoa nusu lita kwa siku
kwa mkamuo mojaWapo wanaotoka mpaka lita kumi