Kati ya Algeria iliyomiliki mpira kwa 85% na Taifa Stars 15%, nani anastahili kusifiwa?

Bora umenielewa ila kuna VIHIYO wa SOKA hawakubali
 
We jiulize kwanini algeria pamoja na kuwa na possession kubwa sana lakini wana shot on target moja tu?
TUMIA AKILI JAPO YA KUAZIMA ALGERIA HAKUWA ANATAFUTA USHINDI KAMA TAIFA STARS KWANINI AJICHOSHE KUPIGA ON TARGET ALIKUWA ANACHEZA SHOW GAME ALIYEPASWA KUPIGA MARA 100 NI TAIFA STARS
TUMEBEBWA KUBALINI ACHENI KUJITEKENYA
 
Kweli hamjui mpira[emoji1787][emoji1787]
 
TUMIA AKILI JAPO YA KUAZIMA ALGERIA HAKUWA ANATAFUTA USHINDI KAMA TAIFA STARS KWANINI AJICHOSHE KUPIGA ON TARGET ALIKUWA ANACHEZA SHOW GAME ALIYEPASWA KUPIGA MARA 100 NI TAIFA STARS
Otherwise wangekula 7 za fasta 😄
 
Huo umiliki wa 85% umeutoa wapi? maana takwimu hazisemi hivyo!! Kama ingekuwa ni hivyo bado mwenye 15% ndiye anayestahili sifa!! Maana yake anajua kucheza wakati akiwa hana mpira hasa kama ana malengo ya sare! Unamiliki mpira kwa 85% halafu haujui uufanyie nini mpira halafu unategemea kusifiwa!!
 
"Mpira ni mahesabu Na bahati"
 
TUMIA AKILI JAPO YA KUAZIMA ALGERIA HAKUWA ANATAFUTA USHINDI KAMA TAIFA STARS KWANINI AJICHOSHE KUPIGA ON TARGET ALIKUWA ANACHEZA SHOW GAME ALIYEPASWA KUPIGA MARA 100 NI TAIFA STARS
TUMEBEBWA KUBALINI ACHENI KUJITEKENYA
Hivi hukuona jinsi Taifa stars walivyokuwa wanakaba sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…