MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
- Thread starter
- #21
Bora umenielewa ila kuna VIHIYO wa SOKA hawakubaliAhsanteni sana Algeria kutuachia, ingelikua mechi ya kuamua matokeo kwa upande wa Algeria aisee angempasua mtu goli 7, navyoona ile mechi wametuachia tu, hawakutaka kukaza. Uzuri kocha wetu ni muaAlgeria so itakua imesaidia sana. Mungu awabariki hawa ndugu zetu waaAlgeria.