Daah mnasomana codes ngumu kiasi hiki?[emoji23] Nilijua ulipokuwa unaaelekea
Eeeeeh ndiwooooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mizagamuo haijawahi mwacha mtu salama[emoji28]
Rudia kusoma post yangu inajielezaHuyu mzee Ana kiti chake humu sio wakumshindanisha na hao vijana
What if ulikuwa wrong? π π[emoji23] Nilijua ulipokuwa unaaelekea
πππ
Kasome story yake utaniambiaSijawahi mfatilia uyo ngoja nimcheki story zake. Ila Umughaka nilimfatilia yupo vema.
Master Mzee wa kupambania hanipi dili siku hizi π πChambo wa chama Cha wezi ana upiga mwingiii Analyse